Rais Samia anaweza kuvunja Baraza la Mawaziri

Hana uwezo wa kuvunja Baraza la Mawaziri kwasababu Mawaziri wengi ni Team Msoga.

Team Msoga ndio ilimsaidia sana kufika alipofika.

Hana mizizi iliyochimbia huku Tanganyika

Mwisho ni Mama,sifa kubwa za WaMama ni huruma,kulea,kubembeleza na kudekeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…