Umemsahau mtoto wa msoga.Litavunjwa kwa wengine ila sio Bashungwa, Nape, Makamba, Nchemba.
Ngoja tuone
Ninachojua J J Mnyika anatikisa huko Kusini
Ahahhah aisee, thanks for the input!Hahaaa!! Two rules involves
Rule 1: Dont outshine the master!
RULE 2: Make sure you dont forget rule no 1
🤣🤣🤣🤣Toa Mwigulu Nchemba tupa kule.
Toa Nape Nnauye mpeleke Mtamba Swala akawe Mheshimiwa Mtendaji wa Kata.
Toa January Makamba, peleka kwa Civilian Coin a.k.a deogratius Nalimi akawe Garden boy
Business as usual. Hamna jipya.Historia huenda ikajirudia kwa Rais wa JMT kuchukua maamuzi aliyofanya Rais Mwinyi Mwaka 1990.
Baraza la Mawaziri linaweza kuvunjwa wakati wowote kuanzia sasa.View attachment 2416036
Mkuu hawa watangazaji wakongwe sana wako wapi siku hizi🤣🤣🤣🤣Lubunga Byaombe ndani, Jamhuri Mwavyombo nje...dah pole sana
Kama Milner kiraka tu wanafaida zaoBashungwa ana lipi la ajabu?
Daaaaah zamanii saanaaa hii miamba aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lubunga Byaombe ndani, Jamhuri Mwavyombo nje...dah pole sana
Bunge aliache ila Baraza asafishe kwa kuanza na boss wao mkuu atupishe kwanza.Tulishauri mapema Sana,mwanzo anaingia alitakiwa hata kuvunja hata bunge nakuitisha uchaguzi upya hata migogoro ya akina Mdee yasingekuepo,
Wapo wabunge wa ccm ambao walipendwa kwenye majimbo ila walipigwa chini na mwenda zake kwa Sababu anazozijua yeye,
Unaweza kuwa mchezaji mzuri tu ila kama upo na Tim mbovu ni ngum kuonekana kama hu mchezaji mzuri
Umeelewa nini niliandika, nimesema kipindi anaingia , kwa sasa hatawezaje vunja Bunge,Bunge aliache ila Baraza asafishe kwa kuanza na boss wao mkuu atupishe kwanza.