Pre GE2025 Rais Samia anayo sifa ya kupiga kura Tanganyika?

Pre GE2025 Rais Samia anayo sifa ya kupiga kura Tanganyika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
Mzanzibari yoyote anaruhusiwa kupiga kura bara maadam anaishi Tanganyika maana na wao ni Watanzania. Ila Mtanganyika ndo hurusiwi kupiga kura Zanzibar maana Watanganyika siyo Wazanzibar. Umenipata hapo?
 
Anazindua uandikishaji kama raia wa kawaida au waziri wa TAMISEMI? Je, mzanzibari hawezi kuwa waziri wa TAMISEMI hata kama siyo rais?
 
Apige kura asipige kura hainiongezei chochote kwenye kuutafuta mkate wa Kila siku wa familia yangu.

BTW urais ni ajira ndio sababu wanalipwa
 
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
Wewe jamaa wa Kitakita unapenda vagi.
 
Rais yuko juu ya Katiba! Kwa nchi yetu Katiba ni makaratasi tu kuzolea taka taka!
Usishangae akija kupiga kura kwenye mtaa wenu.
 
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
Tafuta sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 imeainisha ni nani ana haki ya kupiga kura...
 
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
Raia namba moja wa Tanzania, hata asipojiandikisha atakuta jina lake limeandikwa namna moja tayari. yeye ana kazi moja tu,

nayo ni kuchukua kuweka waaaa ..🐒
 
Kwa Katiba yetu Rais ni Mungumtu
Wazungu walituletea toilet paper, wakati huo tulikuwa tunatumia majani baadae magazeti hata kama yana picha ya muheshimiwa fulani, sasahivi tunatumia maji wakati maji tulikuwa nayo tangia mwanzo kumbe mtizamo hutubadilisha tabia, (mindset),eti ukitumia maji unashika inye, je sikuhizi hatuishiki inye?.

Kuhusu matumizi ya magezeti hili zoezi limenikumbusha mbali sana nimechambia picha za waheshimiwa wengi sanaa waliokuwa huko duniani

Kwa karne hii kumbe ningefungwa hata kupotezwa kisa matumizi mazuri ya magazeti badala ya kuchoma

Hitimisho taarifa kumbe inaweza kukusababushia changamoto, (information can cause uncertainty), vyombo vya habari vinaweza kutusababishia changamoto ,

Mimi nina andiko langu linahusu uncertainty, (changamoto), kwa lengo la kujifunza kutafsiri namna ya kukabiliana na changamoto za kibiashara,

kwakujipa muda kuto liweka hadharani nitaliongezea nyama, pia nimekutana na kisa kingine cha maafisa biashara kufunga biashara kwa kisa cha kukosa liseni bila kusikilizwa, hata kama baadae umelipia liseni hiyo, hawa maafisa biashara sijawahi kuwashudia wakitoa elimu ya ujasiriamali kwa hao wafanyabiashara, wanachojua ni kukusanya mapato tu

This is what we call the entrepreneur and his her environments , to learn about uncertainty you have to create uncertainty scenario
 
Rais Samia alipata nafasi ya kuwa mgombea mwenza wa Magufuli kwa sababu ni mzanzibari Serikali za Mitaa siyo miongoni mwa mambo ya Muungano. Akipiga kura huku Tanganyika atakuwa amekiuka sheria.

kabla ya kuwa mgombea mwenza alikuwa waziri kwenye serikali ya Muungano. na pia unatakiwa ufahamu Tanganyika haipo, hezo serikali za mitaa ni za Tanzania, na yeye ni Mtanzania
 
Mzanzibari yoyote anaruhusiwa kupiga kura bara maadam anaishi Tanganyika maana na wao ni Watanzania. Ila Mtanganyika ndo hurusiwi kupiga kura Zanzibar maana Watanganyika siyo Wazanzibar. Umenipata hapo?
Huu ndio ukweli mchungu.
 
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
HUYO NI RAIA FRKI HSNA HSKI YOYOTE YA KUPIGA KURA WALA KUGOMBEA UONGOZI SI TANZANIA BARA WALA ZANZIBAR
 
Back
Top Bottom