Guy of gisbon
JF-Expert Member
- Apr 22, 2024
- 564
- 803
wewe ni mzanzibari bila shakaWewe ni fala tu. Hivi huko Chadema hakuna wenye akili kabisa?
Kuzindua ni kupiga kura au ni kuruhusu zoezi liendelee?
Akili zenu hazina akili kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni mzanzibari bila shakaWewe ni fala tu. Hivi huko Chadema hakuna wenye akili kabisa?
Kuzindua ni kupiga kura au ni kuruhusu zoezi liendelee?
Akili zenu hazina akili kwa kweli
unamaana gani kusema mambo ya utanganyika nyerere alishayamalizaMbna mambo ya utanganyika Nyerere alishayamaliza au unamaanisha anataka kupigwa kura katika Halmashauri ya Tanganyika huko Katavi
Wanaleta blah blah kwenye mambo ambayo ni serious.U
Umenikumbusha jamaa yule..r.i.p
Taito Iko sawa. Jee Rais Samia anayo sifa ya kupiga kura Tanganyika?Badili title.
Ya Tanganyika aliyamaliza lakini ya Zanzibar akayaacha!!!unamaana gani kusema mambo ya utanganyika nyerere alishayamaliza
Ndio anayo.Taito Iko sawa. Jee Rais Samia anayo sifa ya kupiga kura Tanganyika?
Tena wa Ukerewe kabisa !wewe ni mzanzibari bila shaka
Yeye ni Mtanganyika?Ndio anayo.
Kuwa Rais wa Tanzania haukumpi sifa ya kushughulika na mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano.Ila katiba inamruhusu kuwa raisi wa jamhuri ya muungano wa Tz. Anafanya kazi ya mkuu wa nchi.
Tanganyika ni Tanganyika.Kwani Tanganyika ni wapi?