Rais Samia, angalia viwanda hivi vilivyofungwa hapa Morogoro

Aisee ila Tz kuna mazingira magumu sana ya kibiashara mikodi ya kutosha na ukifungua tu kuanzia Mwenyekiti wa CCM mpaka RPC itabid wawe kwenye mfuko wako wa posho la sivyo utapata tabu sana
Nchi ngumu sana hii.
 
Wadada wengi kutoka sehem kama Chamwino, Kiwanja cha ndege na Mazimbu wamepoteza ajira zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…