Rais Samia angalia wajanja wasikuingize mjini

Mwarabu siku zote anamwona Mwafrika kama mtumwa na anamdharau mikataba yake na nchi za kiafrika ni tofauti ma nchi za ulaya. Milele mwarabu anamwogopa Sana mzungu
We waangalie hata hawa waarabu wakwetu tuliozaliwa wote na kukulia uswahilini, labda wale choka mbaya ambao tunawaita waarabu koko lakini wakiisha pata unafuu kidogo wa maisha sio wenzio tena, dharau na manyanyaso ndiyo sifa yao!
 
"Kitendo cha framework kuja bila time frame, requirements wala dissolution ni kuonesha waziri wako na timu yake walifeli" - Nukuu. You've nailed it. Kongole nyingi kwako Mkuu.
 
Kwa sas inavyoonekana Mwarabu kashika Mpini, na Raichi kachika Makali., ndio maana wapambe nuksi wanasema inabidi mwarabu achukue ili wapate na pisi za kiarabu., ujinga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…