Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpina hatetereki hana njaa kama zako mazeri wa kujikomba unatetea hata ujingaMpina mavi debe.
Bahati yake mama ni mtu wa Reconciliation, atamtetea ki aina yake.
ukiangalia picha tu unapata matuamaini makubwa na ya uhakika moyoni, kwamba nchi iko salama, Imara na uelekeo wa Taifa ni mzuri sana...RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichokutana Jijini Dar es Salaam leo tarehe 29 Juni 2024.
View attachment 3029028View attachment 3029029View attachment 3029030View attachment 3029031View attachment 3029032View attachment 3029032View attachment 3029033
#CCMImara
#VitendoVinaSauti
#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee




Kikao cha kitapeliRAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kilichokutana Jijini Dar es Salaam leo tarehe 29 Juni 2024.
View attachment 3029028View attachment 3029029View attachment 3029030View attachment 3029031View attachment 3029032View attachment 3029032View attachment 3029033
#CCMImara
#VitendoVinaSauti
#TunaendeleaNaMama
#KaziIendelee
Nimecheka kenya wabunge wamekimbia mjengoni 😄Kila siku vikao halafu ujinga tu.
Acha matusi ya kijinga wewe!
Chawa anacheka kishetani. Acha uchawa dogo .Ndugu zangu Watanzania,
Yaani hata ukitazama tu kwa picha na namna wajumbe walivyokaa unaona dhahiri kabisa kuwa hiki ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania, unaona ni chama chenye kutoa muelekeo wa nchi, unaona ni chama kilicho imara na mfumo thabiti, unaona ni chama chenye Dira na muelekeo unaoeleweka na maono yenye kulipeleka mbele Taifa letu kimaendeleo.
Unaona namna kilivyosheheni watu wazito, wenye akili, upeo, maarifa, utulivu, uwezo wa kiuongozi na wanaostahili kuwa hapo walipo, unaona ni chama kinachojuwa nini watanzania wanataka, nini kiu ya wengi, unaona ni chama chenye majibu na majawabu ya maswali ya watu, unaona kimebeba na kuunganisha watu wenye mawazo na maono makubwa kwa mstakabali wa Taifa letu, unaona ni watu wenye vibali na Karama za uongozi na kibali mbele za Mungu.
Sasa nenda upande wa pili kule kwa CHADEMA, utacheka mpaka upasuke, kwanza wanaingia vikaoni kila mtu akiwa hana matumaini wala mawazo ya kukijenga chama wala kukipa uhai wala dira na muelekeo unaoeleweka, ni chama ambacho ni kama mkusanyiko wa watu mnadani ambapo wengine huenda tu kwa ajili ya kutembea na kuzurura tu na kupoteza Muda.
Itachukua miaka mingi sana zaidi ya Millenium kadhaa kwa vyama vya upinzani kufikia hata robo tu ya nguvu ya CCM. Vyama vya upinzani ni vyama vinavyostahili kuendelea kuongozwa tu. CCM itaendelea kuwa chama kiongozi kwa muda wote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3029083
Pia soma: Rais Samia kuongoza Vikao vya Kamati kuu na Halmshauri kuu ya CCM Taifa June 29-30
Mimi siyo chawaChawa anacheka kicheko cha kishetani.
Chawa anacheka kishetani. Acha uchawa dogo .