Rais Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

ukiangalia picha tu unapata matuamaini makubwa na ya uhakika moyoni, kwamba nchi iko salama, Imara na uelekeo wa Taifa ni mzuri sana...

kila la kheri comrade Dr.Samia Suluhu Hassan na wajumbe wote wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya ccm Taifa
 
Watumishi wana hasira na kutopanda vyeo/madaraja mwezi June alijue hilo.
Wamekuwa ni ma GEN Z bado tu kuingia barabarani
 
Kikao cha kitapeli
 
Acha matusi ya kijinga wewe!

Huyo FaizaFoxy, ifuatilie michango yake. Mtu mjinga na mnafiki atawezaje kuuacha ujinga? Si ndivyo alivyo? Kusubiria hekima na weledi kutoka kwa FaizaFoxy,.ni kusubiria embe chini ya mchongoma.
 
Waje na jibu la muungano ,La lisu

Mana ,kinana aliamua luwaambia uwongo makatibu tawi nchizima pale dodoma
 
Chawa anacheka kishetani. Acha uchawa dogo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…