Rais Samia aonya vikao vya Polisi kudhaminiwa

Rais Samia aonya vikao vya Polisi kudhaminiwa

Ndio nchi yetu tunavyo ishi hakuna namna. Hata wanao lia tuzo, itokee uso kwa uso na mama la mama alafu amuulize anazungumzia vipi kuhusu tuzo, lazima aipambe. So acha kila mtu aishw pale kamba yake inapofikia
Sipatii picha kijana unaulizwa tozo unazionaje, hahahah utacheka sana..."Ah tozo ni mujarabu sana mkuu"!!! Tena zimekuja muda muafaka 😂😂😂
 
Kweli Rais Samia Suluhu ameamua kusimamia haki kwa vitendo watanzania wote tunajivunia wewe mama
Maneno tu. Je waliodhamini sinema ya royal tour wakikosa wanafanywaje? Na wasipolipa kodi je?
 
Back
Top Bottom