Rais Samia aonya vikao vya Polisi kudhaminiwa

Ndio nchi yetu tunavyo ishi hakuna namna. Hata wanao lia tuzo, itokee uso kwa uso na mama la mama alafu amuulize anazungumzia vipi kuhusu tuzo, lazima aipambe. So acha kila mtu aishw pale kamba yake inapofikia
Sipatii picha kijana unaulizwa tozo unazionaje, hahahah utacheka sana..."Ah tozo ni mujarabu sana mkuu"!!! Tena zimekuja muda muafaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kweli Rais Samia Suluhu ameamua kusimamia haki kwa vitendo watanzania wote tunajivunia wewe mama
Maneno tu. Je waliodhamini sinema ya royal tour wakikosa wanafanywaje? Na wasipolipa kodi je?
 
Sipatii picha kijana unaulizwa tozo unazionaje, hahahah utacheka sana..."Ah tozo ni mujarabu sana mkuu"!!! Tena zimekuja muda muafaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maisha bila unafiki hayaendi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…