Rais Samia apeleka bil 20 kukuza uvuvi ziwa Victoria

Rais Samia apeleka bil 20 kukuza uvuvi ziwa Victoria

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuwezesha na kukuza shughuli za ufugaji wa Samaki kwa njia ya vizimba miongoni mwa vijana ili wanufaike na uchumi wa buluu uliopo kwenye ukanda wa Ziwa Viktoria.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na vijana ambao wamepata mafunzo ya ufugaji samaki katika vizimba akiwa katika ziara yake aliyoifanya Wilayani Buchosa, Mkoani Mwanza amesema fedha zilizotolewa ni fursa kubwa kwa vijana kujipatia ajira na kuondokana na kutegemea uvuvi wa asili ambao uzalishaji wake ni mdogo

Mradi huo wa vizimba vya Samaki utazalisha tani elfu Arobaini (40,000) za samaki ambazo zitaongeza uzalishaji kwa sababu mahitaji ya samaki ni makubwa sana.

Katika hatua nyingine, Waziri Ulega alisema mwaka huu pia Serikali itawakopesha wavuvi nchini kote boti za kisasa zaidi ya 150 ili waweze kuboresha shughuli zao na kuongeza uzalishaji wa samaki. Boti hizo zitafungamanishwa na teknolojia za kisasa zitakazomsaidia mvuvi kurahisisha shughuli za uvuvi.
 
Uvuvi wa Nini maana mchina na wavuvi haramu wameishaharibu kuanzia mazalia ya samaki hadi samaki wenyewe.
Kokolo, timba mabomu siku vinatumika bila uficho, nchi imefunguliwa hii!
 
Afande Samia anaipendelea sana kanda ya ziwa ,sijui kwa nini!
 
Wanapewa kina nanani! Asijekuwa kaanzisha biashara kama mtoto wa Mseveni Uganda nzima kaiteka kwa vifaa vya uvuvi usiponunua vifaa kwake ukiviweka majini havirudi.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuwezesha na kukuza shughuli za ufugaji wa Samaki kwa njia ya vizimba miongoni mwa vijana ili wanufaike na uchumi wa buluu uliopo kwenye ukanda wa Ziwa Viktoria.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na vijana ambao wamepata mafunzo ya ufugaji samaki katika vizimba akiwa katika ziara yake aliyoifanya Wilayani Buchosa, Mkoani Mwanza amesema fedha zilizotolewa ni fursa kubwa kwa vijana kujipatia ajira na kuondokana na kutegemea uvuvi wa asili ambao uzalishaji wake ni mdogo

Mradi huo wa vizimba vya Samaki utazalisha tani elfu Arobaini (40,000) za samaki ambazo zitaongeza uzalishaji kwa sababu mahitaji ya samaki ni makubwa sana.

Katika hatua nyingine, Waziri Ulega alisema mwaka huu pia Serikali itawakopesha wavuvi nchini kote boti za kisasa zaidi ya 150 ili waweze kuboresha shughuli zao na kuongeza uzalishaji wa samaki. Boti hizo zitafungamanishwa na teknolojia za kisasa zitakazomsaidia mvuvi kurahisisha shughuli za uvuvi.
Raisi anatoa wapi hela vocha upumbavu wako
 
Samaki gani hao waliobaki ziwani?
Labda atoe kwa ajili ya kuwamwaga ziwani samaki toka maeneo mengine maana humu wameisha aina nyingi na wamekuwa extinctions

Hakuna maisha ya samaki ziwani tena wameisha
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuwezesha na kukuza shughuli za ufugaji wa Samaki kwa njia ya vizimba miongoni mwa vijana ili wanufaike na uchumi wa buluu uliopo kwenye ukanda wa Ziwa Viktoria.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na vijana ambao wamepata mafunzo ya ufugaji samaki katika vizimba akiwa katika ziara yake aliyoifanya Wilayani Buchosa, Mkoani Mwanza amesema fedha zilizotolewa ni fursa kubwa kwa vijana kujipatia ajira na kuondokana na kutegemea uvuvi wa asili ambao uzalishaji wake ni mdogo

Mradi huo wa vizimba vya Samaki utazalisha tani elfu Arobaini (40,000) za samaki ambazo zitaongeza uzalishaji kwa sababu mahitaji ya samaki ni makubwa sana.

Katika hatua nyingine, Waziri Ulega alisema mwaka huu pia Serikali itawakopesha wavuvi nchini kote boti za kisasa zaidi ya 150 ili waweze kuboresha shughuli zao na kuongeza uzalishaji wa samaki. Boti hizo zitafungamanishwa na teknolojia za kisasa zitakazomsaidia mvuvi kurahisisha shughuli za uvuvi.
Naona shida kubwa iko kwenye kuzimamia, zitekeleze makusudio.


Yesu ni Mwokozi
 
Uongo mtupu, hadi mwaka unsisha utakut pesa iliyopokelewa haifiki hata %10
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuwezesha na kukuza shughuli za ufugaji wa Samaki kwa njia ya vizimba miongoni mwa vijana ili wanufaike na uchumi wa buluu uliopo kwenye ukanda wa Ziwa Viktoria.

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na vijana ambao wamepata mafunzo ya ufugaji samaki katika vizimba akiwa katika ziara yake aliyoifanya Wilayani Buchosa, Mkoani Mwanza amesema fedha zilizotolewa ni fursa kubwa kwa vijana kujipatia ajira na kuondokana na kutegemea uvuvi wa asili ambao uzalishaji wake ni mdogo

Mradi huo wa vizimba vya Samaki utazalisha tani elfu Arobaini (40,000) za samaki ambazo zitaongeza uzalishaji kwa sababu mahitaji ya samaki ni makubwa sana.

Katika hatua nyingine, Waziri Ulega alisema mwaka huu pia Serikali itawakopesha wavuvi nchini kote boti za kisasa zaidi ya 150 ili waweze kuboresha shughuli zao na kuongeza uzalishaji wa samaki. Boti hizo zitafungamanishwa na teknolojia za kisasa zitakazomsaidia mvuvi kurahisisha shughuli za uvuvi.
Pesa imepelekwa lini? Wameisha anza kupatiwa hiyo pesa au hadi mwaka utamalizika wakizungushwa tu? CCM hopeless kabisa.
 
Back
Top Bottom