Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Nini alichokifanya, acha kuzungukaUna umri gani?
Huyu babu kuna watu wanamsifia bure, lakini hakuna kizuri alichokifanya zaidi kuwasumbua wageni na kutaifisha mali zao,, kumiliki tv ilikua ni ishu, sijui alitaka wananchi wawe na maisha ya tabu ama nini haswaa lilikuwa lengo lake!!!!Nyerere alinunua au walitaifisha za EAC???
Haha kwenye majanga sasa yanakosa majiNa gari za fire zinakuwa na maji full full.
Anamuda gani hajaonekana aiseee baada ya kuwataka mje na hoja mbadala?!Kwahiyo kwenye mapokezi ya ndege mikusanyiko inaruhusiwa?
Au waliokusanyika washadungwa kitu cha Johnson?
Msamaria mmoja aniangalizie kama spika wetu Job Ndugai kahudhuria mapokezi.... huwa hakosagi yule kwenye haya mambo...
Otherwise tuanzishe kampeni yetu pendwa "Where is our beloved Speaker?"
Hivi hizo zooote mwendazake alizilia full full so na utengenezaji waendelea kila inayokamilila hupokelewa!?!Hakua limbukeni wa ndege
Labda kama alitaifisha za east Africa ya nyumbani kwenu.Nyerere alinunua au walitaifisha za EAC???
Magari ya fire yaliyoko uwanja wa ndege na pale fire makao makuu ni tofauti na hata siku moja magari ya uwanja wa ndege hauwezi kuyakuta fire makao makuuHahah...
Jamaa huwa wanafungua wapo vizuri sana kwenye kuzichapa ndege maji...
Mimaji inaruka juu haswa, wakati siku ile pale K'koo ilichukua muda kweli kuweza kurusha maji kupitia ule uwazi wa juu wa soko
2inch clit na govi kwa mtu yule yule mmoja?Your mom would have done a better job with her 2 inch clit na govi lake kama Dr Gwajima.
Magari ya fire yaliyoko uwanja wa ndege na pale fire makao makuu ni tofauti na hata siku moja magari ya uwanja wa ndege hauwezi kuyakuta fire makao makuu
Wakati Nyerere anapigania uhuru babu yako alikuwa anafanya nini?Nyerere amefanya maendeleo gani mkuu! Hata ki-TV kumiliki ilikua ishu! Katika marais watano waliopita plus mama samia wanaafazali kuliko nyerere.
Ni sawa na ni kwa vile ilikuwa usiku kama ni mchana sidhani kama hilo gari unaweza kuliona hukoMkuu wakati wa emergency kubwa hayo ya Airport huwa walau gari moja hutolewa na kwenda kupambana na moto nje ya Airport kama moto ni mkubwa sana unaohitaji zile gari...
Hata Kariakoo walipeleka lakini ni baada ya muda mrefu kupita...
View attachment 1874955
Wakati Nyerere anapigania uhuru babu yako alikuwa anafanya nini?
Kana hujui alichafanya Nyerere basi hapa sio mahali sahihi kwako rudi shule usome historia na literature mbalimbali ili uelewe alichofanya Nyerere.
Ni sawa na ni kwa vile ilikuwa usiku kama ni mchana sidhani kama hilo gari unaweza kuliona huko
Ndio maana nikasema rudi usome historia. TAA ilianzishwa na nani? Nyerere aligombea uongozi wa TAA na alichaguliwa kwa mujibu wa katiba ya TAA. Yeye ndiye aliyeshawishi wenzie wabadilishe TAA ili ipiganie uhuru wa Tanganyika na kuunda TANU ; Rupia alikuwa muislamu?Bila wazee wa kiislamu angekuwepo pale!!!! Navyojua waislamu ndio wamemuweka pale, pamoja na hayo yote bado aliendelea na ushenzi na kuwachukia waislamu + na mauwaji ya waislamu/waarabu katika mapinduzi ya zanzibar akishirikiana na yule kafiri mwenzie okello, na abeid karume na kuuwa waislamu/waarabu. Acha kuwatetea magaidi wewe.
Mohamed Said
Tayari?Kwahiyo kwenye mapokezi ya ndege mikusanyiko inaruhusiwa?
Au waliokusanyika washadungwa kitu cha Johnson?
Msamaria mmoja aniangalizie kama spika wetu Job Ndugai kahudhuria mapokezi.... huwa hakosagi yule kwenye haya mambo...
Otherwise tuanzishe kampeni yetu pendwa "Where is our beloved Speaker?"