Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani haya mawazo haya ndo yanatufanya tunaogopa hata kufungua mipaka ya EA.Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida.
Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China.
Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote
Huku Waarabu
Huku Marekani
Huku China.
Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida.
Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China.
Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote
Huku Waarabu
Huku Marekani
Huku China.
Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
Hapo wachina wamempatia kweli mama, Cio wale Europer walimpakia kwenye basi. SS mama Kwa mapokez haya , bagamoyo port is initiated , mtwara gas is ours, and we give you ciber security, and big loanHaya mapokezi kutoka China si ya kawaida.
Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China.
Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote
Huku Waarabu
Huku Marekani
Huku China.
Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
Ile ya USA ilimuuma sana hadi aliisemea kwa ku compare mapokezi yake na Oman!Sema Samia hajaamini...maana kule USA alifika hakuna aliyekuwa na time naye..China kaona gep kama dem anadanga halafu mabwana wanamchunia basi atakuwa easy ball...Sasa China ni kubatua tu
Mungu tu atunusuru.
Walioendelea wanaujua Udhaifu wetu Waafrika. Endeleeni Kujidanganya kuwa mnapendwa nao wakati tunadharaulika kama Kinyesi.Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida.
Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China.
Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote
Huku Waarabu
Huku Marekani
Huku China.
Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
Ile ajira ya kuuza duka la simu uliyokua unaifukuzia ulifanikiwa kuipata mkuu?Ninachofurahi hiyo ndinga aliyopandishwa mama yetu ipo majini bado kama wiki 2 inifikie,very executive
Ukiwa mrembo halafu akili ikawa inakksekana basi maeneo nyeti ndo hulipia gharama ya maumivu yake.....Haya mapokezi kutoka China si ya kawaida.
Wamemfanya Rais ajione wa maana ili watupige na kitu kizito
Bandari ya Bagamoyo huenda ikaenda China.
Tanzania sasa inapiganiwa na pande zote
Huku Waarabu
Huku Marekani
Huku China.
Ni Ulaya pekee haijaonesha nia.
View attachment 2405345
Ikifikia hapo ndio najiuliza hawa wazee walikuwa wanaongoza kitu gani toka uhuru hadi sasa bado tunaangaika maji.. aibu sana.mwambien bi mkubwa hatuna maji na tuna water bodies kama zote tuna bahari, mito na maziwa lakini tuna shida ya maji
Mungu ni mwemaTunahitaji dunia zaidi ya wao wanavyotuhitaji , acheni nchi ifunguke ,Hakuna Taifa linalojitegemea lenyewe ,sharti lishirikiane na dunia nzima, tuwe SUBRA wakati chakula kinaandaliwa
Labda kaenda kukopa...Mbona rais Xi hajaenda kumpokea