Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66

Hili suala la bei za matibabu ya figo na bei za mashine za kusafisha figo Mleta Uzi tunaomba ututhibitishie watu Hizo bei watanzania tuna matatizo hayo ya Figo haya mambo ya kutuwekea ma BOQ kama alivyokuwa anafanya yule nyang'au jiwe mtamdhalalisha sana HUYU mama wa watu. Watu tunataka Tiba
za Figo za uhakika nchi nzima.
 
Kwani unamalalamiko toka kokote?
 
MSD
 
Kwani unamalalamiko toka kokote?
Ndiyo ninamalalamiko (1) kutoka kwa wagonjwa waliolazwa Toka mikoani wapo hapa DSM wanalalamika kuwa mikoa YOTE ya tz wamelundikana DSM huko mikoani walikotoka hàkuna huduma Hii ya diolysisi
(2 ) hizo bei za mashine ulizosema wanauliza mashine hizo zinapatikana wapi Ili wanunue warudi Nazo mikoani kwào
(3)wanalalamika je kweli Kuna bei yà mashine ya milIoNi mbili kweli yaani wewe umeleta taharuki kwa wagonjwa tunaowadumia Leo tunaonekana kama hatuwajàli.kutafuta urahisi wa Tiba yao.
 
Wasiompenda Rais ni wale wachawi na wenye roho za aina ile,
 
Hizi ni geresha za MSD ili kuwabrainwash watanzania kutokana na uhaba wa dawa uliokithiri
 
Hizi ni geresha za MSD ili kuwabrainwash watanzania kutokana na uhaba wa dawa uliokithiri
Inasikitisha sana msd wanavyochezea akili zà watu kwenye uhai wa mtu,msd mjitokeze mkanushe hizo HABARI kabla hatujawaweka kwenye taasisi la mauaji ya kimbari.
 
Nimewasilisha hoja yako mkuu,
 
Nice work CM 1774858
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…