Rais Samia asafiri kwa Treni Dar es salaam Hadi Morogoro

Rais Samia asafiri kwa Treni Dar es salaam Hadi Morogoro

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,hii leo ameweza kusafiri kwa usafiri wa treni ya kisasa kabisa katika mradi wetu wa kimkakati wa SGR ambao amekuwa akipigana na kuupigania ukamilike na kumalizika .katika kuhakikisha watanzania wanautumia kusafiri na kusafirisha mizigo yao kwa uharaka na kwa usalama.

Ambapo mpaka hivi sasa takribani watu millioni moja wamesafiri kwa kutumia usafiri huo tulivu na salama kabisa usio na bughudha .ambapo ukiwa ndani yake unahisi uko ulaya au angani. Rais wetu kipenzi ambaye hivi majuzi Ametoka kuhudhuria mkutano wa G20 Nchini Brazil na kukonga mioyo ya viongozi wengi wakubwa wa Nchi za Magharibi na Marekani.

Ameweza kusafiri na kutua katika kituo cha Jakaya Mrisho Kikwete Mjini Morogoro.Ambapo Rais wetu Mpendwa ameonekana akiwa mwenye bashasha ,furaha na tabasamu kubwa sana katika paji la uso wake huku akiwapungia watu mkono kama ishara ya kuwasalimia na kuwajulia hali .

Jambo ambalo limekuwa la kawaida kwa kipenzi chetu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuwasalimu na kusalimiana na watu kila anapofika na kukuta watu.hii ni kutokana na tabia yake ya unyenyekevu,ukarimu ,ucheshi na kuchangamana na watu tofauti tofauti bila kumbagua mtu au kumpita mtu
Screenshot_20241123-211340_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Unajua ni kwanini hii nchi haiwezi kupiga hatua kuna vitu kama vitatu

1. Aina ya raia wa nchi ni kama aliyeleta huu uzi, mambo ambayo ni wajibu kufanywa na serikali wao wanaona kama hisani

2. Kuna watu wanatakiwa kuliokoa hili taifa, ila wamejizima data, wengine kwa masilai yao binafsi na wengine wanaofia usalama wao

3. Ni aina ya viongozi tulionao, kwa ufupi hawana dira na hawajui ni nini wanafanya, kwa ufupi hata hizo nafasi walizonazo ni kwa hisani ya wanganga wao na ushirikina mwingi, wanawahamini sana wanganga kuliko hata uhalisia
 
Unajua ni kwanini hii nchi haiwezi kupiga hatua kuna vitu kama vitatu

1. Aina ya raia wa nchi ni kama aliyeleta huu uzi, mambo ambayo ni wajibu kufanywa na serikali wao wanaona kama hisani

2. Kuna watu wanatakiwa kuliokoa hili taifa, ila wamejizima data, wengine kwa masilai yao binafsi na wengine wanaofia usalama wao

3. Ni aina ya viongozi tulionao, kwa ufupi hawana dira na hawajui ni nini wanafanya, kwa ufupi hata hizo nafasi walizonazo ni kwa hisani ya wanganga wao na ushirikina mwingi, wanawahamini sana wanganga kuliko hata uhalisia
 
Kuna ubaya gani akisafiri na garimoshi mchongoko?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,hii leo ameweza kusafiri kwa usafiri wa treni ya kisasa kabisa katika mradi wetu wa kimkakati wa SGR ambao amekuwa akipigana na kuupigania .katika kuhakikisha watanzania wanautumia kusafiri na kusafirisha mizigo yao kwa uharaka na kwa usalama.

Ambapo mpaka hivi sasa takribani watu millioni moja wamesafiri kwa kutumia usafiri huo tulivu na salama kabisa usio na bughudha .ambapo ukiwa ndani yake unahisi uko ulaya au angani. Rais wetu kipenzi ambaye hivi majuzi Ametoka kuhudhuria mkutano wa G20 Nchini Brazil na kukonga mioyo ya viongozi wengi wakubwa wa Nchi za Magharibi na Marekani.

Ameweza kusafiri na kutua katika kituo cha Jakaya Mrisho Kikwete.Ambapo Rais wetu Mpendwa ameonekana akiwa mwenye bashasha ,furaha na tabasamu kubwa sana katika paji la uso wake huku akiwapungia watu mkono kama ishara ya kuwasalimia na kuwajulia hali .

Jambo ambalo limekuwa la kawaida kwa kipenzi chetu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuwasalimu na kusalimiana na watu kila anapofika na kukuta watu.hii ni kutokana na tabia yake ya unyenyekevu,ukarimu ,ucheshi na kuchangamana na watu tofauti tofauti bila kumbagua mtu au kumpita mtuView attachment 3159845

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
What is so special?? Idiot
 
Daktari 🤭...inabidi kwenye uchaguzi tufanye namna sio tu kugombea Urais iwe ni Urais + Udaktari😁
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,hii leo ameweza kusafiri kwa usafiri wa treni ya kisasa kabisa katika mradi wetu wa kimkakati wa SGR ambao amekuwa akipigana na kuupigania ukamilike na kumalizika .katika kuhakikisha watanzania wanautumia kusafiri na kusafirisha mizigo yao kwa uharaka na kwa usalama.

Ambapo mpaka hivi sasa takribani watu millioni moja wamesafiri kwa kutumia usafiri huo tulivu na salama kabisa usio na bughudha .ambapo ukiwa ndani yake unahisi uko ulaya au angani. Rais wetu kipenzi ambaye hivi majuzi Ametoka kuhudhuria mkutano wa G20 Nchini Brazil na kukonga mioyo ya viongozi wengi wakubwa wa Nchi za Magharibi na Marekani.

Ameweza kusafiri na kutua katika kituo cha Jakaya Mrisho Kikwete Mjini Morogoro.Ambapo Rais wetu Mpendwa ameonekana akiwa mwenye bashasha ,furaha na tabasamu kubwa sana katika paji la uso wake huku akiwapungia watu mkono kama ishara ya kuwasalimia na kuwajulia hali .

Jambo ambalo limekuwa la kawaida kwa kipenzi chetu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuwasalimu na kusalimiana na watu kila anapofika na kukuta watu.hii ni kutokana na tabia yake ya unyenyekevu,ukarimu ,ucheshi na kuchangamana na watu tofauti tofauti bila kumbagua mtu au kumpita mtuView attachment 3159845

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dr Samia suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote ni kiongozi mzalendo ambae haoni tabu kutumia usafiri wa kizalendo.

well done mama, umeonyesha njia na mfano bora kwa vingozi wengine kuiga 💪👊
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,hii leo ameweza kusafiri kwa usafiri wa treni ya kisasa kabisa katika mradi wetu wa kimkakati wa SGR ambao amekuwa akipigana na kuupigania ukamilike na kumalizika .katika kuhakikisha watanzania wanautumia kusafiri na kusafirisha mizigo yao kwa uharaka na kwa usalama.

Ambapo mpaka hivi sasa takribani watu millioni moja wamesafiri kwa kutumia usafiri huo tulivu na salama kabisa usio na bughudha .ambapo ukiwa ndani yake unahisi uko ulaya au angani. Rais wetu kipenzi ambaye hivi majuzi Ametoka kuhudhuria mkutano wa G20 Nchini Brazil na kukonga mioyo ya viongozi wengi wakubwa wa Nchi za Magharibi na Marekani.

Ameweza kusafiri na kutua katika kituo cha Jakaya Mrisho Kikwete Mjini Morogoro.Ambapo Rais wetu Mpendwa ameonekana akiwa mwenye bashasha ,furaha na tabasamu kubwa sana katika paji la uso wake huku akiwapungia watu mkono kama ishara ya kuwasalimia na kuwajulia hali .

Jambo ambalo limekuwa la kawaida kwa kipenzi chetu Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuwasalimu na kusalimiana na watu kila anapofika na kukuta watu.hii ni kutokana na tabia yake ya unyenyekevu,ukarimu ,ucheshi na kuchangamana na watu tofauti tofauti bila kumbagua mtu au kumpita mtuView attachment 3159845

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kikata mguu na njia
 
Dr Samia suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania wote ni kiongozi mzalendo ambae haoni tabu kutumia usafiri wa kizalendo.

well done mama, umeonyesha njia na mfano bora kwa vingozi wengine kuiga 💪👊
Rais Samia ni mfano wa kuigwa na mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.
 
Back
Top Bottom