Rais Samia ashauriwe namna ya kuongea kama Rais na siyo kuongea kama Samia

Rais Samia ashauriwe namna ya kuongea kama Rais na siyo kuongea kama Samia

Rais Samia pengine bado haelewi madhara ya kauli zake kama Samia hali inayopelekea sintofahamu na mkanganyiko usio wa lazima kwenye hadhira anayoiongoza.

Dada Samia wewe ni Rais wa nchi ya Tanzania na kauli zako zinayo madhara ama faida za ki-Rais.

Shime jiepushe kutoa kauli tata zinazopelekea kutatiza hasa mambo yahusuyo bei ya vitu!

Vinginevyo, huko mbele ya safari utaja jutia kaulizo.
Tupe mfano wa hizo kauli......

#Siempre SSH🙏
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Ukinipapasa nami nakupapasa ni translation ya neno you scratch my back I scratch yours ni neno la kawaida tu ila sisi hatuna dogo issue imekuwa kubwa unproportionally jamani mwacheni mama apumue ha
😍
 
Hii katiba inamruhusu rais kufanya ama kuongea chochote, na hakuna hatua yoyote atachukuliwa akiwa madarakani au ametoka.
Kuna Kipindi Huku January Makamba Alikuwa Anaonekana Anafaa Kuwa Rais Wa Hii Nchi, Hivi Mpaka Sasa Kuna Watu Bado Wanaamini Hivyo?
 
Legacy ya Magufuli ndio hii sasa (Samia).
Rais Samia pengine bado haelewi madhara ya kauli zake kama Samia hali inayopelekea sintofahamu na mkanganyiko usio wa lazima kwenye hadhira anayoiongoza.

Dada Samia wewe ni Rais wa nchi ya Tanzania na kauli zako zinayo madhara ama faida za ki-Rais.

Shime jiepushe kutoa kauli tata zinazopelekea kutatiza hasa mambo yahusuyo bei ya vitu!

Vinginevyo, huko mbele ya safari utaja jutia kaulizo.
 
Tatizo namba moja na namba mbili hakuna mwenye unafuu. Tumepigwa na kitu kizito sana.
 
Rais Samia pengine bado haelewi madhara ya kauli zake kama Samia hali inayopelekea sintofahamu na mkanganyiko usio wa lazima kwenye hadhira anayoiongoza.

Dada Samia wewe ni Rais wa nchi ya Tanzania na kauli zako zinayo madhara ama faida za ki-Rais.

Shime jiepushe kutoa kauli tata zinazopelekea kutatiza hasa mambo yahusuyo bei ya vitu!

Vinginevyo, huko mbele ya safari utaja jutia kaulizo.
 
Rais Samia pengine bado haelewi madhara ya kauli zake kama Samia hali inayopelekea sintofahamu na mkanganyiko usio wa lazima kwenye hadhira anayoiongoza.

Dada Samia wewe ni Rais wa nchi ya Tanzania na kauli zako zinayo madhara ama faida za ki-Rais.

Shime jiepushe kutoa kauli tata zinazopelekea kutatiza hasa mambo yahusuyo bei ya vitu!

Vinginevyo, huko mbele ya safari utaja jutia kaulizo.
Ha ha ha!!! Lile jambo letu lipo!!!
 
Ukinipapasa nami nakupapasa ni translation ya neno you scratch my back I scratch yours ni neno la kawaida tu ila sisi hatuna dogo issue imekuwa kubwa unproportionally jamani mwacheni mama apumue ha
apumue alafu sisi tufe na ukali wa maisha ausio...
 
Rais Samia pengine bado haelewi madhara ya kauli zake kama Samia hali inayopelekea sintofahamu na mkanganyiko usio wa lazima kwenye hadhira anayoiongoza.

Dada Samia wewe ni Rais wa nchi ya Tanzania na kauli zako zinayo madhara ama faida za ki-Rais.

Shime jiepushe kutoa kauli tata zinazopelekea kutatiza hasa mambo yahusuyo bei ya vitu!

Vinginevyo, huko mbele ya safari utaja jutia kaulizo.
hizo ni kauli za ccm samia unamuone bure
 
Nimeshangaa hata uwezo wake wa kupambanua mambo.
Ati kadai bei ya mafuta Tanzania ni ndogo kuliko ya marekani, ivi anajua au amelinganisha range ya mishahara ya Tanzabia na ya marekani?? Ivi anajua USA mafuta yanakuwa priced kwa galoni na si kwa lita km sisi Tz??.
Sincerely hatotuvusha huyu mmama katiri.
Mkuu una hoja nzito sana, kuna tofauti ya lita na galon, pia tofauti ya kipato,
 
Kuna Kipindi Huku January Makamba Alikuwa Anaonekana Anafaa Kuwa Rais Wa Hii Nchi, Hivi Mpaka Sasa Kuna Watu Bado Wanaamini Hivyo?

Sidhani kama kuna mtu hata ana hamu an huyo muhuni. Ila usishangae akiwa rais, maana sasa hivi rais hachaguliwi na wananchi bali kikundi kijiitacho system.
 
Nasikia Ana washauri wa kutoka udsm ambao wao ndio wanamshauri

Sas badala yey ashauriwe yy ndie anawashauri
 
Jeshi lipo linamlinda hata akitoa mazitooooo ya kiwango Cha tanni
 
Back
Top Bottom