Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sio hii? Kwahio Ile ya Nuhu ilikua baraka? MmmmmghHujui mvua ni ishara ya baraka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hii? Kwahio Ile ya Nuhu ilikua baraka? MmmmmghHujui mvua ni ishara ya baraka?
Anatakiwa kuwachukia?Anawapenda wafanyabiashara na wenye ukwasi ndo maana bei ya sukari ni 5,00+ sasa na hajigusi
Ni kweli, ila sio hii.Hujui mvua ni ishara ya baraka?
Waliofungwa akili ndio Bado wanaziamini.Siku hizi sijui dini naionaje!
Kama hujui anachotakiwa kufanya basi tuliza akili yako.Anatakiwa kuwachukia?
Unataka kuleta ule ujinga wa kusema ajali wanyonge? Haitakiwi kumtenga yoyote, bali anawajibika kwa Kila mwananchi, hizo siasa za kitapeli sijui wanyonge pelekeeni walemavu wa akili.Kama hujui anachotakiwa kufanya basi tuliza akili yako.
Maswali ya kitoto peleka kulee
Hilo tukio ni kubwa sana! Na hasa ikifahamika kuwa Malasusa ni mtu wao tangu kitambo. Hivyo hakukuwa na namna nyingine kwa Rais. Lazima ahudhurie hilo tukio.Siku hizi naona Rais ana muda mwingi wa kutosha, kiasi cha kushiriki hata matukio madogo madogo!!
Leo inanyesha siku nzima hivi hivi.Nipo hapa nje (garden) nasubiri mvua itulie ndipo niingie.
Kwani kudhibiti mfumuko ndo kujali wanyonge?Unataka kuleta ule ujinga wa kusema ajali wanyonge? Haitakiwi kumtenga yoyote, bali anawajibika kwa Kila mwananchi, hizo siasa za kitapeli sijui wanyonge pelekeeni walemavu wa akili.
Mnalasusa ni kiongozi wa dhehebu,acha kuunda mambo kwenye kichwa chako.Hilo tukio ni kubwa sana! Na hasa ikifahamika kuwa Malasusa ni mtu wao tangu kitambo. Hivyo hakukuwa na namna nyingine kwa Rais. Lazima ahudhurie hilo tukio.
Wewe unaona hili ni tukio dogo!? Kwa taarifa yako hili ni tukio kubwa kuliko hata kumuapisha rais wa nchi.Siku hizi naona Rais ana muda mwingi wa kutosha, kiasi cha kushiriki hata matukio madogo madogo!!
Bagonza kadai Malasusa karithi madeni ya kutisha
Kwani Sadaka zinafanya Kazi gani hadi Kanisa likope benki nk?
Kwahiyo wewe unaijua KKKT kuliko Askofu Dr Bagonza? 🐼Uwongoo haujui uendeshaji wa KKKT. Kila Jimbo linajitegemea kifedha.
Hujui mvua ni ishara ya baraka?
basi ninyamaze ili usizidi kumpa maneno yasiyofaa kiongozi wa kiroho.
Hospitali ya KCMC ni mali ya dayosizi ya Shoo?Uwongoo haujui uendeshaji wa KKKT. Kila Jimbo linajitegemea kifedha.
Duh!Kanisa kuongozwa na afisa kipenyo siyo sawa hata kidogo