Rais Samia ashiriki mkutano wa COP27 nchini Misri. Awakutanisha marais 11 kujadili umeme

Weka sahihi uandishi wako! Unamaanisha Nini unapoandika
"Amewakutanisha"
Yeye ndiye aliyeitisha kikao! Lugha ya ufasaha inatakiwa hapo unatafuta kutueleza sifa!!
 
Sijui viongozi wenzake walikuwa wanamwonaje hapo mkutanoni! Yaani watu wake wamefariki na dunia nzima inajua, yeye eti yuko mkutanoni!

SHAME!
Ajali ilivyokuwa inatokea yeye hakuwa Nchini, masuala mengine ni kuyapa muda tu kwa Sababu asingeweza kuvunjilia mbali ratiba ambayo tiyar alikuwa nayo toka Jamhuri ya China hadi Misri, tkumbuke pia waziri Mkuu alikuwa mstari wa mbele kuiwakilisha serikali katika ajali ile.
 
Weka sahihi uandishi wako! Unamaanisha Nini unapoandika
"Amewakutanisha"
Yeye ndiye aliyeitisha kikao! Lugha ya ufasaha inatakiwa hapo unatafuta kutueleza sifa!!
Thats makes two of us
 
Duh!
 
Anawakutanisha kujadili Jambo ambalo yeye na Waziri wake limewashinda.Umeme tunagawana kama chakula cha msaada.🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…