Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

Ndio maana mpaka leo Serikali toka Uhuru inahangaika kujenga shule, hospitality na Barabara na bado mambo hayaelewiki.

Time management hasa kwa watu wenye mamlaka kubwakubwa ingeweza kuleta changes kubwa sana positive ikitumika vizuri.

Masaa mawili kila chuo kikuu kingepeleka wawakilishi 10 Ikulu kufanya debate namna yakuboresha Elimu yetu na nini kifanyike kusaidia kuondoa tatizo la ajira kwa vijana wetu mitaani.
 
Yaani rais unaenda kuhudhuria
Tamasha la wakata UNO sijui bongo fleva 😄
Hii dharau sana
Sema nchi imekuwa ya kisaanii sanii tu

Ova
Sasa Mshauri wake ndo yule Waziri Salum Rajab Alifeli la saba,elimu ya kuruani,wanaomshauri Samia wanataka wapate per Diem nyingi kama kadri watakavyoweza.Ndo maana wanawasiliana na mabalozi huko watafute functions ili Samia aende,Samia akienda na wao wameenda.
 
Wako bize na kuhangaika na wasanii rais unajiweka mbeleee
Wakati waziri,makatibu nk

Ova
 
Ni kudhalilisha taasisi ya Urais
Hapo ndio nchi zetu zinapoharibu heshima zao
Ila sishangai ndio wengi wanaona sawa tu
 
Wewe ndiyo HAMMAZO. Ulitaka Samia aanzishe miradi yake wakati Magufuli alianzisha miradi mingi na haikuwa imevuka hata 35%.

Kichwa chako kimejaa kamasi tu
Ama kweli we popoma.
Angalia ulichozungumza halafu fananisha na nilichokujibu.
Kama hata kuoanisha hujui hasara ya pesa za babaako alizokusomeshea.
 
Kwani hizo ziara yeye hafanyi? Kila Jambo na wakati wake, kwanza Kuna ubaya gani raisi wa nchi kuunga vijana wake mkono katika kazi zao. Uwepo wake katika tukio la namna hiyo ni Heshima kwa tasnia nzima ya muziki.
Kwa cheo alicho nacho inatakikanika upimaji wa uzito wa matukio.
Tukio kama hili alitakiwa ahudhurie waziri wa sanaa na michezo au mkurugenzi wa BASATA.
Embu tumieni bongo zenu kidogo.
 
Duh wanamuingiza kingi

Ova
 
ATCL ina faida gani? Kwani kabla hajafufua ATCL tulikuwa hatupandi ndege?

Unaongelea six lane za Kimara -Kibaha lakini unasahau UNYAMA wake wa kutowafidia wenye nyumba zilizobomolewa.

Hilo shetani ndiyo maana lilikufa tu pamoja na kuiba uchaguzi wote wa 2020
 
Swali lakizushi akatikea msanii kutoa album kumsifia TAL na akaalikwa na viongozi wengine je watahudhuria? Au kuna wasanii wao na vijana wao wanaowasifia wao tu ndio huwakubali? Kama ni hivyo basi niubaguzi mkuu kabisa na hiyo album inatumika kama sehemu yakampeni kwa namna fulani which is very unfair kwenye ushindani kwa mgombea alieko madarakani
 
Ama kweli we popoma.
Angalia ulichozungumza halafu fananisha na nilichokujibu.
Kama hata kuoanisha hujui hasara ya pesa za babaako alizokusomeshea.
Nafuu niwe popoma kuliko kuunga mambo ya kishamba ya kula mahindi barabarani? Nchi hii haitatawaliwa tena na mshamba kutoka Kolomije
 
Nafuu niwe popoma kuliko kuunga mambo ya kishamba ya kula mahindi barabarani? Nchi hii haitatawaliwa tena na mshamba kutoka Kolomije
View attachment 2999941
Nakuacha ulitafakari hili.
Kipindi Tanzania inaongozwa na huyo anayekula muhindi barabarani Tanzania ilikua MIDDLE LOW-INCOME COUNTRY.
Na ilikua amongst nations with acute poverty/umasikini wa kawaida.
Ila sasa hivi inaongozwa na mjanja imekua 31st POOREST NATION IN THE WORLD with intense poverty/UMASIKINI MKUBWA AU ULIOKITHIRI.
Una akili yenye poor reasoning tuombee mwanao asirithi hizo akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…