1. Mkataba wa kununua treni ya billion 600 unabatilishwa na kuletwa wakununua treni kwa 1.3 Trillions. Treni inakuja ya kimagumashi af used.
2. Uwanja wenye capacity ya 30k kujengwa kwa 286 billions ilihali wenye capacity ya 60K ulijengwa kwa 50 Billions.
3.Kibanda cha mlinzi kujengwa kwa million 13 wakati hata million 6 kisingemaliza. Its irrelevant completely.
mengine wataongezea wadau...