Rais Samia asijikite kutumbua Wakuu wa Mikoa na Wilaya pekee. Amulike ufisadi unaofanywa na Mawaziri wake

Ukiacha waziri mkuu anayehangaika na ufisadi sioni kiongozi mwingine aliye serious kulinda mali za umma kwa sasa
Waziri mkuu kupambana peke yake bila back up kubwa ya raisi ni kazi bure. Anatakiwa apate usaidizi wa juu na pia kutoka kwa wenzake wa chini, yani mawaziri.
 
Asante sana kwa kumuelewesha huyo mmalawi anaejifanya mtanzania huku hajui kinachoendelea Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…