Rais Samia asijikite kutumbua Wakuu wa Mikoa na Wilaya pekee. Amulike ufisadi unaofanywa na Mawaziri wake

Rais Samia asijikite kutumbua Wakuu wa Mikoa na Wilaya pekee. Amulike ufisadi unaofanywa na Mawaziri wake

Ukiacha waziri mkuu anayehangaika na ufisadi sioni kiongozi mwingine aliye serious kulinda mali za umma kwa sasa
Waziri mkuu kupambana peke yake bila back up kubwa ya raisi ni kazi bure. Anatakiwa apate usaidizi wa juu na pia kutoka kwa wenzake wa chini, yani mawaziri.
 
1. Mkataba wa kununua treni ya billion 600 unabatilishwa na kuletwa wakununua treni kwa 1.3 Trillions. Treni inakuja ya kimagumashi af used.

2. Uwanja wenye capacity ya 30k kujengwa kwa 286 billions ilihali wenye capacity ya 60K ulijengwa kwa 50 Billions.

3.Kibanda cha mlinzi kujengwa kwa million 13 wakati hata million 6 kisingemaliza. Its irrelevant completely.

mengine wataongezea wadau...
Asante sana kwa kumuelewesha huyo mmalawi anaejifanya mtanzania huku hajui kinachoendelea Tanzania.
 
Back
Top Bottom