GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alizungukwa na Watu very Intelligent na Patriotic Kweli kwa Tanzania ila Rais Samia kwa sasa amezungukwa na Mafisadi, Mafia, Wapumbavu ( Mapopoma ) na Wanafiki watupu wakiongozwa na Mswahili Mmoja nimemsahau Jina.
Pumzika kwa Amani Babu yangu Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tunakupenda na Kukukumbuka.
Pumzika kwa Amani Babu yangu Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tunakupenda na Kukukumbuka.