Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Anayewashwa ni wewe kwani umezaliwa juzi hukuwahi gezaulole na sembe la yangaWavaa kobazi mkisikia jina nyerere mnaanza kuwashwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayewashwa ni wewe kwani umezaliwa juzi hukuwahi gezaulole na sembe la yangaWavaa kobazi mkisikia jina nyerere mnaanza kuwashwa
Wallah vile!! Weye kama siyo Mpemba, basi utakuwa ni Mkojani! Yaani una kile kiswahili laini kabisa cha kutoka Kisiwa Ndui.Wacha kupakazia , Laanatullahi Nyerere Kama alizungukwa na watu bright na intelligent asingaliondoka madarakani nchi ikiwa imefilisika. Hata chumvi ilikuwa kipusa. Viatu tukivaa mapira ya gari. Mafisadi ndiyo walikuwa huru kufanya watakavyo. Yeye akiwa badilisha mawizara tu. Uliza Mgonja alifanywa nini.
Mwinyi aliikuta nchi iko Zero kiuchumi .Ok, ni raisi gani hakuvuruga nchi?
Ametusaidia sana kwa kutuulia Wazee na ndugu zetu kwa maalfuWallah vile!! Weye kama siyo Mpemba, basi utakuwa ni Mkojani! Yaani una kile kiswahili laini kabisa cha kutoka Kisiwa Ndui.
Halafu usimuongelee Nyerere kwa ubaya hivyo! Amewasaidia mambo mengi sana nyinyi Wazanzibari, kuliko hata sisi ndugu zake wa Tanganyika.
Yakhee!! Bila ya Nyerere, mpaka leo mngekuwa mnatawaliwa na Sultan wa kutoka Oman!Ametusaidia sana kwa kutuulia Wazee na ndugu zetu kwa maalfu
Wafia dini wavaa kobazi ni watu wapumbavu sanaAnayewashwa ni wewe kwani umezaliwa juzi hukuwahi gezaulole na sembe la yanga
Mmenyimwa elimu mkakaririshwa majini, ona sasa mlivyo na hizi tope kichwaniMwinyi aliikuta nchi iko Zero kiuchumi .
Akaruhusu mengi kidogo naweza kumpa marks lakini waliobaki wote zero
Sultan kazaliwa wapi na kamuuwa nani?Yakhee!! Bila ya Nyerere, mpaka leo mngekuwa mnatawaliwa na Sultan wa kutoka Oman!
Nyerere ndiye aliye wasaidia kwa siri kumfurusha yule Maamuma Sultan wenu mkatili kabisa siku ile ya January 12, 1964!
Na ikatokea akapewa mtu yeyote yule, basi shughuli yake hugeuka kuwa pevu.Ila tukiwa wakweli, nafasi ya Uraisi siyo ya kila mtu.....
Kuongoza taifa la watu zaidi ya milioni 60 inahitaji akili ya ziada....
Sikulaumu umezaliwa juziMmenyimwa elimu mkakaririshwa majini, ona sasa mlivyo na hizi tope kichwani
Rais Samia Suluhu anafanya kazi kubwa sana na anayaishi maono ya baba wa taifa kwaiyo acha makasiliko mtoto mdogpHayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alizungukwa na Watu very Intelligent na Patriotic Kweli kwa Tanzania ila Rais Samia kwa sasa amezungukwa na Mafisadi, Mafia, Wapumbavu ( Mapopoma ) na Wanafiki watupu wakiongozwa na Mswahili Mmoja nimemsahau Jina.
Pumzika kwa Amani Babu yangu Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tunakupenda na Kukukumbuka.
Nayulemzee wachatuasingepeleka Madinirwanda inchiiingekuwa tajilisana anzakumsemamtusi mwinziokengeweweHayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alizungukwa na Watu very Intelligent na Patriotic Kweli kwa Tanzania ila Rais Samia kwa sasa amezungukwa na Mafisadi, Mafia, Wapumbavu ( Mapopoma ) na Wanafiki watupu wakiongozwa na Mswahili Mmoja nimemsahau Jina.
Pumzika kwa Amani Babu yangu Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tunakupenda na Kukukumbuka.
OhooooooWavaa kobazi mkisikia jina nyerere mnaanza kuwashwa
Nyerere alikuwa kiongozi,alikuwa na mipango na maono.....Mimi sio mvaa kobazi ila Nyerere alikuwa nyenyere aliivuruga nchini vibaya sana