Uongozi wa juu wa polisi ni ndio ulikuwepo madudu yakitokea, halafu hao hao wanaombwa wayasafishe. TZ kuna maajabu sanaKama Mama anamaanisha anachokisema tuyaone hayo kwa vitendo badala ya maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongozi wa juu wa polisi ni ndio ulikuwepo madudu yakitokea, halafu hao hao wanaombwa wayasafishe. TZ kuna maajabu sanaKama Mama anamaanisha anachokisema tuyaone hayo kwa vitendo badala ya maneno
ULIKUWA fala...Kuna mmoja alikamata leseni ya dereva wangu akamwambia niifuate nyumbani kwake Kurasini. Niliishia kununua resheni ya nyumbani kwake ya wiki nzima[emoji24]
[emoji1787][emoji1787]Anachukua kukagua kama leseni ni yenyewe au umebeba kadi ya bank
Sawa mkuu[emoji1787][emoji1787]
hahhahahahahah sema hii kitu ni changamotoHivi Police huwa wanabadilika pamoja na haya maagizo? Ni kati ya Wafanyakazi wa Serikali ambao kwao Mulungula kwanza kuwajibika baadaye. Wewe jaribu uibiwe vitu Nyumbani kwako halafu ripoti Police, utadhani wewe ndio Mwizi mwenyewe kwa usumbufu.
Siku hizi askari anakushikia vipi leseni wakati hata nikumachia nina namba ambazo ndio muhimu na IDs zingine plus copy.Rais Samia Suluhu Hassan amesema bado Askari wanalalamikiwa kwa masuala kadhaa ikiwemo kushikilia Leseni za Madereva kwa muda mrefu au kuwalazimisha kulipa faini papo hapo ilihali Sheria inampa muda Dereva wa kuilipa.
Amesema, "Kingine ni kuna ukamataji mwingi wa Vyombo. Ukipita Vituo vya Polisi utakuta Pikipiki nyingi zimepangwa, na nyingine hazionekani kama zimekamatwa jana na leo"
Ameongeza, "Makosa yasikilizwe, kesi imalizike ahukumiwe kosa. Vyombo vinabaki muda mrefu unahisi vimetelekezwa. Iangaliwe kwa undani kero hizi zinasababishwa na nini"
Yaani umeorodhesha mambo yote ya Muhimu, suala LA polisi kusimamisha magari hovyo hovyo huchochea sana rushwa na ajali!! Fikiria polisi anakupakazia makosa zaidi ya Mara tatu katika safari moja, utakuwa na amani ya safari!? Lazima uchanganyikiwe na ni chanzo kikubwa cha ajaliSuluhisho
VInginevyo Rais utachakaa kero ni nyingi na huwezi kuzifuatilia zote, omba mashine zikusaidie ili haki unayoihubiri ipatikane bila uonevu
- Kuwekwe vituo maalumu vya ukaguzi wa vyombo vya moto kwenye kila barabara
- Vituo hivyo vifungwe cctv cameras for transparency reasons
- Askari wasiruhusiwe kuwa na kiasi kikubwa cha fedha kwenye mifuko yao katika vituo hivyo vya ukaguzi
- Kuwepo dawati la malalamiko dhidi ya askari kwenye kila mji na wapokeaji wa malalamiko wasiwe askari ...labda PCCB
- Kwenye hilo dawati la malalamiko kuwepo mashine za kurekodi malalamiko husika
Ilifikia kipindi JWTZ walipewa Kila sector nashauri hata barabarani wapewe mafunzo halafu wawekwe na wao tuangalie malalamiko yataendelea au raia watafurahia kuwepo wao?
Labda kama Wana matumbo ya chuma, Hakuna uzalendo kwenye njaaIlifikia kipindi JWTZ walipewa Kila sector nashauri hata barabarani wapewe mafunzo halafu wawekwe na wao tuangalie malalamiko yataendelea au raia watafurahia kuwepo wao?
Kaka una gari kweeli kama kuandika leseni tu inakuwia vigumu[emoji24][emoji24][emoji24]Kuna mmoja alikamata leseni ya dereva wangu akamwambia niifuate nyumbani kwake Kurasini. Niliishia kununua resheni ya nyumbani kwake ya wiki nzima[emoji24]
Zilongwa mbali zitendwa mbaliMama butua watu kadhaa usiishie kusema tu...
Dawa ni kutompa kujifanya umeisahau tu unamtia sound! Maana ukimpa tu anarekodi zile namba za leseni kisha anakuuliza aidha una “Luteni” au akuandikie faini?Kwa sasa kufanya biashara ya usafirishaji TZ ni shida sana hasa kwa gari hiace, wanaomba leseni wakidai wanakagua ukimpa tuu kinachofata ni faini bila sababu za msingi, nchi yetu kama tutafika tuendako