Kwani yeye anachotaka si ni namba za leseni! Ama unafikiri anachohitaji hasa ni kipi? Ukimnyima hawezi kukuandikia ila ukimpa tu umempa nguvu ya kukunyoosha😅Siku hizi askari anakushikia vipi leseni wakati hata nikumachia nina namba ambazo ndio muhimu na IDs zingine plus copy.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Alimaaniaha RESHENI SIYO leseniKaka una gari kweeli kama kuandika leseni tu inakuwia vigumu[emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 2021128
Sawa mkuuAlimaaniaha RESHENI SIYO leseni
Mkuu Luteni ni niniDawa ni kutompa kujifanya umeisahau tu unamtia sound! Maana ukimpa tu anarekodi zile namba za leseni kisha anakuuliza aidha una “Luteni” au akuandikie faini?
Kisingizio huwa ni kuvuka zebra tu😅
Luteni ni pesa taslimu ya noti TZS 10,000/=Mkuu Luteni ni nini
Huo ufala weka booking toa copy ukawape.maana ubalozini unakoenda kuomba visa utaulizwa pia hiyo tkt.Mama kuna uhamiaji nao
Wananyima watu passport kisa tu ticketi hana
Sasa ticketi utakataje bila passpirt?
$%&#*@&**-Huo ufala weka booking toa copy ukawape.maana ubalozini unakoenda kuomba visa utaulizwa pia hiyo tkt.
Unapewa ushauri unaleta ukima wako lofa we bwege kweli.$%&#@&*-
Usipende kudandia commentza watu kama unapenda matusi
Mwambieni mama wenye hivyo vyombo wengi hawana makosa na wamekataa kutoa rushwaRais Samia Suluhu Hassan amesema bado Askari wanalalamikiwa kwa masuala kadhaa ikiwemo kushikilia Leseni za Madereva kwa muda mrefu au kuwalazimisha kulipa faini papo hapo ilihali Sheria inampa muda Dereva wa kuilipa.
Amesema, "Kingine ni kuna ukamataji mwingi wa Vyombo. Ukipita Vituo vya Polisi utakuta Pikipiki nyingi zimepangwa, na nyingine hazionekani kama zimekamatwa jana na leo"
Ameongeza, "Makosa yasikilizwe, kesi imalizike ahukumiwe kosa. Vyombo vinabaki muda mrefu unahisi vimetelekezwa. Iangaliwe kwa undani kero hizi zinasababishwa na nini"
Polisi ni sehemu ya kuuza na kununua vyombo vya moto hususan pikipiki so kushikiria ni mpango kazi kufankisha mnqda wao na wao ndo wanunuzi wakubwa Kwa bei cheee wao wanakwenda kuuza bei nzuriRais Samia Suluhu Hassan amesema bado Askari wanalalamikiwa kwa masuala kadhaa ikiwemo kushikilia Leseni za Madereva kwa muda mrefu au kuwalazimisha kulipa faini papo hapo ilihali Sheria inampa muda Dereva wa kuilipa.
Amesema, "Kingine ni kuna ukamataji mwingi wa Vyombo. Ukipita Vituo vya Polisi utakuta Pikipiki nyingi zimepangwa, na nyingine hazionekani kama zimekamatwa jana na leo"
Ameongeza, "Makosa yasikilizwe, kesi imalizike ahukumiwe kosa. Vyombo vinabaki muda mrefu unahisi vimetelekezwa. Iangaliwe kwa undani kero hizi zinasababishwa na nini"