Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unasema Tutawaliwe tena? Manake mbadala siuoni. Hatahivyo vita baridi kati ya Wachina na Wazungu isiwekwe kwenye nyoyo zetu. Tunayetu mengi tu kama Kuondoka katika Jumuiya ya Madola. Total Rubbish to be in it.Nasema tena hatuwezi kufika mahali walipo China kwa huu utani wa CCM . Kasome CPC iliwa fanya nini wachina .kasome hawa watu Mao Zedong, Deng Xiaoping na Xi Jinping kipi waliwafanya na walifanyia wachina mpaka wakawa hapo walipo alafu njoo watazame viongozi wetu walio kwenye chama chakavu cha CCM . Kuna utofauti mkubwa Kati ya CPC na CCM ni Kama mbingu na ardhi na CPC ndio siri ya mafanikio ya China.
Tusidanganyane Kama watoto wakati ni vitu visivyo wezekana Chini ya CCM.
Kiongozi wako huyo, anakupa maono yake na namna atakavyosimamia maono yake hayo ili nchi anayotawala iyafikie hayo aliyoyaona yeye.Sisi wananchi kazi yetu kusimuliwa tu.
Ila zinapotokea fursa.
Wale wale ndio wanazipata.
Shamaliza kazi mwana mama; saa hii anawaza atasema jambo gani jingine kwenye ufunguzi mwingine.Hilo nalo waende wakaliangalie
Maneno meengi hamna kitu ndugu yangu.Kiongozi wako huyo, anakupa maono yake na namna atakavyosimamia maono yake hayo ili nchi anayotawala iyafikie hayo aliyoyaona yeye.
Au nimeongeza chumvi, mkuu wangu 'stroke'?
Nchi yetu hii Tanzania itapiga hatua kubwa sana chini ya uongozi wa namna hii wa kupashana tu taarifa na siku zinasonga mbele.
Miaka inapita mbio, sisi tunapeana mipasho tu!
Na wala hawastuki, wala kuona soni!Maneno meengi hamna kitu ndugu yangu.
Ila tunawaona watoto wao namna wanavyokula keki ya Taifa.
Sawa.Kwa hiyo unasema Tutawaliwe tena? Manake mbadala siuoni. Hatahivyo vita baridi kati ya Wachina na Wazungu isiwekwe kwenye nyoyo zetu. Tunayetu mengi tu kama Kuondoka katika Jumuiya ya Madola. Total Rubbish to be in it.
Si unajua tena ukiwa kiongozi, ukifika mahali unahubiri tu kama uko madhabahuni, na vile hawaulizwi chochote zaidi ya kupigiwa makofi, basi wanahubiri tu.Ndivyo ilivyo. Mambo mengi yanaishia kwenye maneno. Hawamaanishi wanachosema.
Napitia maktabaKwa hiyo unasema Tutawaliwe tena? Manake mbadala siuoni. Hatahivyo vita baridi kati ya Wachina na Wazungu isiwekwe kwenye nyoyo zetu. Tunayetu mengi tu kama Kuondoka katika Jumuiya ya Madola. Total Rubbish to be in it.
Kwa kujivunia kutoka moyoni bila kuwa na ulaghai wa kutumia 4R kuwezesha chama chake pekee kuwa na wabunge 100% bunge la taifa na bunge la majimbo, Mheshimiwa Cyril Ramaphosa wa South Africa anajivunia jinsi ANC ilivyovuna 40 % ya kura huku chama kinachofuatia DA 21 % huku asilimia zilizobaki 39% zimegawana vyama vingine vidogo.As part of his itinerary during his visit to New York for the United Nations General Assembly, President Cyril Ramaphosa has spent the day engaging with the American business community. Earlier, the president had encouraged American business people to explore and seize business opportunities in South Africa. He is about to address the American business forum at the New York Stock Exchange