Pre GE2025 Rais Samia atakuwa mtendaji mzuri zaidi akishinda uchaguzi 2025

Pre GE2025 Rais Samia atakuwa mtendaji mzuri zaidi akishinda uchaguzi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kila nikimtazama mh Rais naona hafurahishwi na mambo ya ovyo yanayoyofanywa na watendaji wake.

Nadhani anakwepa mgawanyiko katika Chama chake maana anataka ajenge umoja kuelekea uchaguzi mkuu ili aweze kushinda yeye na Chama chake

Mh Rais ni mtu wa haki. Na hapa anakuwa anawazoom tu

Baada ya uchaguzi mkuu kiama kitawafikia

1. Watekaji

Watekaji watalia sana
Mh Rais naona hafurahishwi na huu uhuni wa utekaji. Naamini akishinda IGP Wambura na waziri Masauni kibarua kitaota nyasi

2. CCM na chawa wote watalia sana

Naamini humo chamani machawa yatalia. Yatafukuzwa sana, posho zitakata
Mama atanyosha nchi

3. wakuu wa mikoa na wilaya vilaza watakaa benchi

Kama hilo lililofukuza watoto wa shule kisa wazazi ni CHADEMA
Hao wajiandae Mama hatacheka na kima

4. Wapinzani watakula bata

Wale wanangu wa CHADEMA mtakunywa sana kahawa sana ikulu
Mama atawadekeza

5 Barabara na miundo mbinu itakuwa chap
Mama atataka aache legacy
Kumzidi Jiwe

2025 twende na mama
 
Aiseee. Ngoja na mimi nitabiri

2025 simba wataanza kula nyasi. Chui na swala wataanza kucheza pamoja huku wakimshawishi nyoka aache kugonga visigino vya binadamu. Kwa kifupi huu utabiri wangu na wamtoa mada unamatokeo ya aina moja
 
Kila nikimtazama mh Rais naona hafurahishwi na mambo ya ovyo yanayoyofanywa na watendaji wake.

Nadhani anakwepa mgawanyiko katika Chama chake maana anataka ajenge umoja kuelekea uchaguzi mkuu ili aweze kushinda yeye na Chama chake

Mh Rais ni mtu wa haki. Na hapa anakuwa anawazoom tu

Baada ya uchaguzi mkuu kiama kitawafikia

1. Watekaji

Watekaji watalia sana
Mh Rais naona hafurahishwi na huu uhuni wa utekaji. Naamini akishinda IGP Wambura na waziri Masauni kibarua kitaota nyasi

2. CCM na chawa wote watalia sana

Naamini humo chamani machawa yatalia. Yatafukuzwa sana, posho zitakata
Mama atanyosha nchi

3. wakuu wa mikoa na wilaya vilaza watakaa benchi

Kama hilo lililofukuza watoto wa shule kisa wazazi ni CHADEMA
Hao wajiandae Mama hatacheka na kima

4. Wapinzani watakula bata

Wale wanangu wa CHADEMA mtakunywa sana kahawa sana ikulu
Mama atawadekeza

5 Barabara na miundo mbinu itakuwa chap
Mama atataka aache legacy
Kumzidi Jiwe

2025 twende na mama

Mzee unatusachi hata hatujalala?
 
Muanzisha thread, kwa heshima na taadhima naomba usijaribu hata kuvuka barabara peke yako maana akili zako hazikidhi hata kuvuka barabara mwenyewe.
 
Muanzisha thread, kwa heshima na taadhima naomba usijaribu hata kuvuka barabara peke yako maana akili zako hazikidhi hata kuvuka barabara mwenyewe.
Twende na Mama 2025
 
Back
Top Bottom