Wewe ndio hujui historia hii.
Kwani Nyerere alijiuzuri ili aende kuchunga ng'ombe?
Kawawa alichaguliwa na nani kushika nafasi hiyo ya Waziri Mkuu? Alimpindua Nyerere?
Kawawa awe na tamaa ya uongozi na kung'ang'ania uongozi, ulikuwepo na kuelewa hali ya siasa ilivyokuwa ndani ya serikali hiyo na uhusiano wa wanaoiongoza? Kawawa ang'ang'anie uongozi kwa misingi ipi hasa...; alikuwa na ufasi wake binafsi mbali ya ule uliokuwepo kwa serikali aliyokuwemo?
Wewe ndio hujui historia hii.
Kwani Nyerere alijiuzuri ili aende kuchunga ng'ombe?
Kawawa alichaguliwa na nani kushika nafasi hiyo ya Waziri Mkuu? Alimpindua Nyerere?
Kawawa awe na tamaa ya uongozi na kung'ang'ania uongozi, ulikuwepo na kuelewa hali ya siasa ilivyokuwa ndani ya serikali hiyo na uhusiano wa wanaoiongoza? Kawawa ang'ang'anie uongozi kwa misingi ipi hasa...; alikuwa na ufasi wake binafsi mbali ya ule uliokuwepo kwa serikali aliyokuwemo?
Hili ndilo wanalo sahau wengi, hata hawa wanaozungumzia akina Sir George na akina Kawawa.Uzuri wa Nyerere alikuwa hatumii nguvu, alikuwa anapambana nao kwa hoja
Nionyeshe unachojua nijue kuwa sijui.Sasa mtu kama wewe nakujibu nini??
Hujui na hujui kama hujui..
Jibu swaliMrema mbona hakuwa na elimu yoyote Ile lakini alionesha wazi tamaa ya madaraka?
Elimu Tena? NdukiiiKawawa alikua na Elimu gani? Na Nyerere je? Ukijibu swali hili utaelewa unyenyekevu ulitokea wapi?
Nakubaliana nawe, hata Mkapa aliwahi kusema '' Maamuzi tunafanya lawama anatupiwa Waziri mkuu wangu''. Ingalikuwa Sumaye hakumsaidia Mkapa lazima angemtosaThe Boss ,
..natofautiana na wewe kuhusu Frederick Sumaye.
..Sumaye alibeba lawama nyingi ambazo zilipaswa kwenda kwa Mkapa.
..Na Sumaye alikuwa anapigwa vita kubwa na wana-ccm wenzake haswa kundi la wanamtandao.