Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfanyakazi huyo lazima ashangilieAisee uko faster!
Asante mama
Sawasawa...Mimi na mwendazake ni wamoja
Kipi bora, kati ya "sawa na kutofanya chochote" na "kutofanya chochote?"1/% ndio unafurahi hajafanya chochote hapo ni sawa na danganya toto
Asante mama
Nimemsikia akisema anaondoa asilimia 6 ya bodi ya mikopo Leo,sema ndo sijamuelewa anamaanisha nini😲🧐Sisi tunataka bodi ya mkopo isikate 15% ya Magufuli wafanye 9% ndo tutaelewana
Retention fee ndio imetolewa ambayo ilikuwa inaongezeka kwa asilimia 6 kila mwakaNimemsikia akisema anaondoa asilimia 6 ya bodi ya mikopo Leo,sema ndo sijamuelewa anamaanisha nini[emoji44][emoji3166]
Nimemsikia akisema anaondoa asilimia 6 ya bodi ya mikopo Leo,sema ndo sijamuelewa anamaanisha nini[emoji44][emoji3166]
Kwa hiyo ile asilimia 15 bado iko palepale na vp kuhusu wale ambao wanakatwa baada ya hiyo retention fee kuwa calculated...mwongozo wako chief tafadhali.Retention fee ndio imetolewa ambayo ilikuwa inaongezeka kwa asilimia 6 kila mwaka
Doooh yaani ni bora pia angepunguza na hilo li asilimia 15 maana ni kero kweli na mzigo mzito.Ameondoa retention fee ya 6% ya mkopo ila makato yamebaki palepale 15%
Kwa meko sio kweli, alipunguza percent fulani, kama sio kwa wote basi kwa namba kubwa ya mishahara. Mpala watu wenye mishahara ya 2m walikika wakisema wameona ongezeko la 50,000 kwenye net pay zao.Hapa ndio nyumbu zinakamatwaga. Mtu anapunguza kodi kwa kima cha chini tuu. Yaani mshahara wa kati ya 161,000 hadi 360,000 ndio umepunguza 1%. Hiyo mingine vipi? Alikuja meko na haya haya eti kapunguza kutoka 12% hadi, 9% watu wakashangilia kabisa. Wakati daraja moja tuu ndio anapunguza mengine anapandisha kufidia.
Sisi tunataka bodi ya mkopo isikate 15% ya Magufuli wafanye 9% ndo tutaelewana
Kama ndo hivo afadhari babekiRetention fee ndio imetolewa ambayo ilikuwa inaongezeka kwa asilimia 6 kila mwaka