Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ww ndo uwe na adabu kupalamia palamia watu....Hiyo historia kua unaijua ww peke ako.....ujuaji unao ww ....haya ww gari lenye taa tujuze......U
Uwe na heshima na adabu, jifunzeni historia ya nchi yetu mpate kuwa na ufahamu , usipoelewa mambo ni Kama gari lisilo na taa Wala brek halafu linatembea usiku, lazima lipate ajari tu, msiwe wajuwaji wa kila kitu wakati hamjuwi mambo mengi,matokeo yake mnaishia kwenye matusi
Malkia alikuwa mkuu nchi zote za jumuiya ya modola pia alishwahi kuwa head state of Tanganyika,Tulivofiwa na magufuli wao waliomboleza siku ngapi? Mwenye jibu anitag
Upuuzi mtupu umeandika. Utumwa wa kifikra umekujaa. leo hii head of state wa Tz hana hadhi ya kupewa heshima ya maombolezo Uingereza lakini watumwa weusi mmekazania kutangaza maombolezo ya mwingereza, no wonder mnajionaga waarabu huku kwenu visiwaniMalkia alikuwa mkuu nchi zote za jumuiya ya modola pia alishwahi kuwa head state of Tanganyika,
Pia alishiriki kwa kiwango kikubwa kupata uhuru kwa amani
Pia majeshi yake yaliwahi kuzuia mapinduzi ndani ya nchi hii
Vilevile ukaid ni mmoja wa donor wakubwa was bajeti yenu ya kijungujiko isiyotosheleza tangu tumepata uhuru
So acha kumlinganisha malkia na Magufuli vitu viwili tofauti sana
Ana mchango mkubwa sana kwa nchi hii pia ni Global leader,
Tofauti na magufuli aliyekuwa kiongozi wa Tz tu
Muwe mnasoma historia ,sio kukurupuka
na hapa nilikuwa nawaza hizo scholarship zitaendelea?maana hapa mwakani naziwazia alafu mtu anakuja kusema ujinga hapaNa
Scholarship za Edinburgh University tulizoogelea kama njugu na sasa tunamalizia MABAKI YAKE
Julius hoyeeeee......
Elimu SAPLAI KIBAHA
zipo kila mwaka sema sasa sijui baada ya malkia kutoka,sijui kama zitaendeleaHahaha mkuu, hivi siku hizi hizo scholarship hakunaga???
Tulivofiwa sisi wao walitangaza maombolezo?
Hii ni Tanzania siyo Tanganyika...From 1961 to 1962 the head of state under the Constitution of 1961 was the queen of Tanganyika, Elizabeth II, who was also the queen of the United Kingdom and the other Commonwealth realms. The monarch was represented in Tanganyika by a governor-general...
Jumuia ya Madola ni club kama vile club nyingine ambazo tumejiunga nazo, Jumuia ya madola siyo Sovereign over us.Hata Sasa umefiwa.Malkia alikuwa mkuu wa jumuiya ya madola.Na yeye ndo alitoa uhuru kwa Tanzania.
Well Noted MkuuUkiangalia comment za wengi humu jf ni kuwa hata historia ya nchi yetu hawajui,lakini utaona mtu ana comment.
Kwani jiwe aliwahi kuitawala Uingereza?Hivi hao "wenzentu" Waingereza waliomboleza kifo cha Magufuli? Ikiwemo bendera za uingereza kupepepea nusu mlingoti nchini uingereza hata kwa nusu saa tu?
Zilipotea Mkuu mambo ya UTAWALA BORAHahaha mkuu, hivi siku hizi hizo scholarship hakunaga???
Nashauri ndege zetu zitupeleke msibani UK, tukamlilie malkia Liz,Na wakizileta hatuzikatai nakuapia.
Basi ssrikali ikodishe usafiri kupeleka waombolezaji msibani wakasaidie kulia
Huyu malkia ndio alikuwa akimlisha babu yako akamlisha baba yako na sasa anakulisha wewe na wanao..Sasa hii ni shobo!
Sisi Rais wetu Magufuli alipofariki Waingereza walitangaza siku ngapi za maombolezo?.
Sisi tumeshafiwa na viongozi wetu wakubwa tu akiwemo Mzee Kawawa , hatujawahi kutangaza siku tano za maombolezo , Huyu Malkia kwetu ni nani haswa hadi tumpe siku zote hizo?
Huu ni utumwa wa Fikra!
Halafu hii serikali mbona inatoa taarifa kwa Umma usiku wa manane, imekuwa serikali ya kichawi?
Ingekuwa rahisi hivyo tunsigemuomba uhuru!Huyu malkia ndio alikuwa akimlisha babu yako akamlisha baba yako na sasa anakulisha wewe na wanao..
Huo ndio ukweli mchungu.