Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Mkakati wa wachawi wenzake kumlinda ili asisombwe na mafuriko ya team Magufuli.Huo Ni mwanzo tu au mvua za rasha rasha tu maana atabeba kila tuzo mnayoifahamu nyie, Rais Samia ni kiongozi kwelii kwelii,Ndio maana nilipendekeza humu kuwa Apewe Udaktari wa Heshima katika uongozi na mahusiano ya kimataifa, Rais Samia Ni chuo Cha uongozi na mfano wa kuigwa katika Bara la Afrika na Dunia yote kwa ujumla, Huko mbele ya Safari Atatumika Kama Rejea ya kiongozi Bora kuwahi kutokea katika Bara la Afrika, kiukweli anatuheshimisha Sana watanzania kwa Sasa
Hayo yanayitajwa yote yalishakuwepo. Hakuna kipya. Vituo vya afya, madarsa, elimu bure na miundombinu, vilikuwepo.
Alistahili tuzo ya kuuza nchi na kuanzisha tozo kali kwa wananchi.