Rais Samia atangazwa tena mshindi wa tuzo mbili za kimataifa

Mkakati wa wachawi wenzake kumlinda ili asisombwe na mafuriko ya team Magufuli.

Hayo yanayitajwa yote yalishakuwepo. Hakuna kipya. Vituo vya afya, madarsa, elimu bure na miundombinu, vilikuwepo.

Alistahili tuzo ya kuuza nchi na kuanzisha tozo kali kwa wananchi.
 
Lakini wafuasi wa Magufuli nao ni Ccm !!
 
Mimi na mke wangu na familia yangu yote usituweke kwenye hao watanzania wanaoheshimishwa na mama Samia.
Nkeo atakubaliana na msimamo wako huu pale mtakapokuwa ndani shuka Moja tu. Pakikucha ataungana na watanzania wengine kumpongeza mama Kwa ushindi huu. Mkuu Tindo wewe ni mkongwe humu. Ifike kipindi uwe unakubali tu ukweli ktk baadhi ya mambo yanayofanywa na Rais Samia ni makubwa na sio Kwa kulinganisha na mtangulizi wake Bali ni karama aliyopewa na Mungu
 
Safi Sana na nyingi zaidi zinasubiria.
 
Utakufa na chuki zako kwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania, kubali au ukatae Ni kuwa mh Rais Samia anakubalika Sana ndani na nje ya mipaka ya Tanzania
 
Hivi Magufuli alimto...mba mama yako?,kulikoni kupambana hivyo na Marehemu?
 
Tuzo ya Amani?kwani aliikuta nchi iko vitani au kulikuwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Ila Wazungu wakikuona hamnazo,wanajua kupamba sana.
 
Tunzo ya Amani duniani...mmmmm Noble peace awards!,kuanzia kwa Tutu, Luthuli, de kleck, madiba na sasa our own president!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…