Tetesi: Rais Samia atavunja Barara la Mawaziri, Biteko atakuwa Waziri Mkuu na Mpina atapewa uwaziri ila mambo yatakuwa ni yale yale

Tetesi: Rais Samia atavunja Barara la Mawaziri, Biteko atakuwa Waziri Mkuu na Mpina atapewa uwaziri ila mambo yatakuwa ni yale yale

Lukuvi anaweza sana!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Lukuvi aliondolewa baada ya kukataa kuwapa hati wale jamaa wa Yanga eneo la Kurasini , kumbe wao ndio walilipa maokoto ya kuwapa Raia na kujifanya wao ndio Wizara , kisanga kingine ni kukataa kumpa hati ya shamba mtoto wa kigogo huko morogoro
 
we don't care how the country is being governed sisi tunasubiri nani apigwe chini ili nani aingie.
Nimeambiwa lazima mambo mengine yaendelee...kwa hiyo, masuala ya nchi inaendeshwaje kwa Sasa si hoja!!!
 
Nimeona Samia ana tabia ya kumteua anayeonekana kuwasumbua mawaziri waliopo, akisema njoo nawe ufanye yale uliyokuwa ukiyasema bungeni, ajabu kwa Mpina hamgusi, sijui anaogopa kitu gani, au anasubiri nini.

- Labda Mpina anaweza kuteuliwa after 2025 election kama atafanikiwa kurudi bungeni, lakini kwa sasa sioni atateuliwa awekwe wapi, hasa nikiona anavyodili zaidi na mambo ya wizara ya fedha, ambapo "mtoto wa mama" kwa sasa anaonekana hagusiki.

Kuhusu Majaliwa kupumzika, hiyo inaweza kutokea after 2025, ambapo Samia ataamua kwenda na Biteko kama PM wake baada ya kumpa experience kwa cheo cha Naibu WM alichonacho sasa, ila sidhani kama itakuwa before 2025.
unahakika gani kama huyo samia atashinda uchaguzi ujao
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi, na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.

Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu na Mpina kupewa uwaziri na Majaliwa kupumzishwa.

In this country, it only needs to be an adult to predict how our politicians are going to do or behave under certain circumstances.
Kama Rais ni huyu Mama hata wakienda kumuazima Xi Jinping awe PM bado watakwama tu.
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi, na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.

Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu na Mpina kupewa uwaziri na Majaliwa kupumzishwa.

In this country, it only needs to be an adult to predict how our politicians are going to do or behave under certain circumstances.
Sidhani!
Why sidhani? kwani wanaogpa nini? si wataiba kura kama magufuli alivyofanya?
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi, na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.

Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu na Mpina kupewa uwaziri na Majaliwa kupumzishwa.

In this country, it only needs to be an adult to predict what our politicians are going to do or behave under certain circumstances.
Swala sio kuvunja Baraza hii Haina maana ni sawa na Kila siku kuhamisha wezi na kuleta wezi wapya.

Mfumo na sheria za kuwajibishana haziko vizuri,Kuna kulindana kwingi ndio maana mambo hayaendi.

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu inafanya kazi gani? Takukuru Huwa wanafanya nini?

Kwa sababu lazima tuone namna ya kuchukua hatua kule mirais inakotekelezwa haiwezekani Waziri Mkuu au Waziri yeyote akawepo Kila sehemu hiyo haipo.

Tutor Nguvu kubwa kuanzia ngazi ya Mkuu wa Mkoa hadi Chini harafu hii tabia ya kuteuana makada na kujuana ndio imetufikisha hapa,kulindana kumezidi.

Wala Haina haja ya kuvunja Baraza ni kufukuza na kubadili Baadhi ya sheria.

Just imagine tuna Internal Auditors wanafanya kazi gani? Kama hawako huru Kwa nini sheria zisibadilishwe Ili wawe free na wapelekw taarifa zao nagazi ya Mkoa badala ya kuishia kwenye management?

Kwani lazima Watu wa Halmashauri wkusanye pesa? Kwa nini TRA Kwa ngazi ya Wilaya wasikusanye mapato? Si Waajiri hao Vijana badala ya kutumia Watendaji Kata na Vijijini kwenye majukumu ambayo sio Yao?

Mambo ya kubadilisha ni mengi sana,kubadili badili Mawaziri sheria ni zile zile haisaidii.

Mwisho just imagine hapa watu wamegawana pesa in the name of vikundi

View: https://www.instagram.com/p/CzMTJC9sw2P/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi, na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.

Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu na Mpina kupewa uwaziri na Majaliwa kupumzishwa.

In this country, it only needs to be an adult to predict what our politicians are going to do or behave under certain circumstances.
Watu kama kina Mwigulu ni Waziri mzuri tuu wa Fedha na Kwa kipindi chake maboresho mengi sana amefanya kama sheria za PPRA,Kuajiri maofisa zaidi wa TRA,CAG,Kuwapa Mafungi Internal Auditors na kubwa kabisa mapato yameongezeka karibu mara 2.

Ila Sasa nae huyu ana makando kando na kashfa nyingi kiasi hata kuendelea nae inakuwa kama shida Kwa Rais.

Kama Kuna tuhuma serious basi Bunge liunde kamati ya kumchunguza Ili kama hakuna kazi iendelee,binafsi nisingependa kumpoteza Kwa sababu Baadhi ya Wizara Huwa hazihitaji kubadili badili Mawaziri Kila siku.

Kila nikiangalia huko Kwa Wanaccm ni Waziri gani anaweza mudu pressyya Siasa na Wizara sijaona labda watoke Nje mfano kina Zito,Kafulira,Mchechu na Magufuru.

Hawa wanaweza suit nafasi ya Mwigulu Kwa sababu ni Wana Mageuzi kama yeye.Kama ana maslahi binafsi mh.Rais muondoe na uweke Waziri Mwingine miongoni mwa hao niliowataja au wengine unaowajua wewe ila kwenye cabinet na wabunge hapo sijaona mwingine.

Mpina labda awekwe kule Maliasili Ili tuone mambo atakayoyaleta.
 
Nimeona Samia ana tabia ya kumteua anayeonekana kuwasumbua mawaziri waliopo, akisema njoo nawe ufanye yale uliyokuwa ukiyasema bungeni, ajabu kwa Mpina hamgusi, sijui anaogopa kitu gani, au anasubiri nini.

- Labda Mpina anaweza kuteuliwa after 2025 election kama atafanikiwa kurudi bungeni, lakini kwa sasa sioni atateuliwa awekwe wapi, hasa nikiona anavyodili zaidi na mambo ya wizara ya fedha, ambapo "mtoto wa mama" kwa sasa anaonekana hagusiki.

Kuhusu Majaliwa kupumzika, hiyo inaweza kutokea after 2025, ambapo Samia ataamua kwenda na Biteko kama PM wake baada ya kumpa experience kwa cheo cha Naibu WM alichonacho sasa, ila sidhani kama itakuwa before 2025.
Kwani ninyi mmekuwa Mungu? Mnafahamu ratiba za Mungu juu ya hii regime Kwa miaka 2 ijayo?
 
Watu kama kina Mwigulu ni Waziri mzuri tuu wa Fedha na Kwa kipindi chake maboresho mengi sana amefanya kama sheria za PPRA,Kuajiri maofisa zaidi wa TRA,CAG,Kuwapa Mafungi Internal Auditors na kubwa kabisa mapato yameongezeka karibu mara 2.

Ila Sasa nae huyu ana makando kando na kashfa nyingi kiasi hata kuendelea nae inakuwa kama shida Kwa Rais.

Kama Kuna tuhuma serious basi Bunge liunde kamati ya kumchunguza Ili kama hakuna kazi iendelee,binafsi nisingependa kumpoteza Kwa sababu Baadhi ya Wizara Huwa hazihitaji kubadili badili Mawaziri Kila siku.

Kila nikiangalia huko Kwa Wanaccm ni Waziri gani anaweza mudu pressyya Siasa na Wizara sijaona labda watoke Nje mfano kina Zito,Kafulira,Mchechu na Magufuru.

Hawa wanaweza suit nafasi ya Mwigulu Kwa sababu ni Wana Mageuzi kama yeye.Kama ana maslahi binafsi mh.Rais muondoe na uweke Waziri Mwingine miongoni mwa hao niliowataja au wengine unaowajua wewe ila kwenye cabinet na wabunge hapo sijaona mwingine.

Mpina labda awekwe kule Maliasili Ili tuone mambo atakayoyaleta.
Adolf Mkenda labda
 
Back
Top Bottom