Nimeona Samia ana tabia ya kumteua anayeonekana kuwasumbua mawaziri waliopo, akisema njoo nawe ufanye yale uliyokuwa ukiyasema bungeni, ajabu kwa Mpina hamgusi, sijui anaogopa kitu gani, au anasubiri nini.
- Labda Mpina anaweza kuteuliwa after 2025 election kama atafanikiwa kurudi bungeni, lakini kwa sasa sioni atateuliwa awekwe wapi, hasa nikiona anavyodili zaidi na mambo ya wizara ya fedha, ambapo "mtoto wa mama" kwa sasa anaonekana hagusiki.
Kuhusu Majaliwa kupumzika, hiyo inaweza kutokea after 2025, ambapo Samia ataamua kwenda na Biteko kama PM wake baada ya kumpa experience kwa cheo cha Naibu WM alichonacho sasa, ila sidhani kama itakuwa before 2025.