Tetesi: Rais Samia atavunja Barara la Mawaziri, Biteko atakuwa Waziri Mkuu na Mpina atapewa uwaziri ila mambo yatakuwa ni yale yale

Adolf Mkenda labda
Najua ni mchumi ila Mimi sio muumini wa academician Kwa sababu theya are too mechanical Kwa hiyo hapana.

Kimei hajui kuongea hawezi jibu hoja Kwa lugha rahisi ambayo watu ambao sio wachumi wakamwelewa.
 
Kasimu Majaliwa bado yupo sana, Na akiondolewa kwa sasa sioni wa kuvaa viatu vyake, Biteko hata ndala hazimtoshi.
Majaliwa yupo sana tuuuu......Biteko bado sana....adubiri 2026 huko sasa badooo ajifunze sana kwa Majaliwa
 
nishakosa imani kabisa na hawa CCM, maana tunakokwenda sipajui kwa kweli, labda nyie wenzangu.
 
Hakuna kitu kama hicho
 
Ndio alivyodanganywa kuwa Kanda ya Ziwa shida yao ni Wazir Mkuu tena Biteko? Kama ndio mnaamini hivyo miambieni huko Kanda hawana shida na Wazir Mkuu wana shida na Rais mwenye maumuzi magumu dhidi ya ufisadi wa hadharani achilia ule wa siri.
Biteko sio kitu Kanda ya Ziwa dhidi ya Majaliwa, Biteko ni kipenzi cha CCM na sio Wasukuma. Ukiwaambia wamchangue nani wao Wataenda na Majaliwa na sio Biteko kwani wanazo kumbukumbu za Magufuli na Majaliwa na Sio Samia na Biteko.
Muambieni Mama kabisa tena hadharani kuwa yeye sio kipenzi cha Wantanzania na washamstukia mapema mno hata abadili katiba bado haisaidii kitu.
 
Kwanini anawahitaji wao binafsi...Wana nini Cha ziada kuzidi wengine...?
 
Majaliwa haondoki kabla ya 2025 kwa sababu kisheria 2025 anamalliza kipindi chake 10 yes na anastaafu rasmi wala baada ya 2025 hawezi kuendelea kuwa Waziri Mkuu Never
 
Majaliwa Lazima avunje Record ya Sumaye. kukaa miaka 14 kama waziri mkuu
Nauliza tu, hivi kwa nini anaandamwa sana.

Maana kwa hali ilivyo anashida. Kwanza alipelekewa biteko, leo makonda anakuja na kumuamrisha. Ningekuwa majaliwa ningeomba kujiuzuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…