Makonda mwiko serikalini.....wHisani watajitoa....mnajisahaulisha mapema hivi.....Kuna mbunge atapewa Ubalozi na Makonda atateuliwa ubunge, kisha ataenda Tamisemi na Mchengerwa Fedha, Dr Mwigullu Uchumi π
TANZANIAHivi hii nchi inaitwake vile?
Najua ni mchumi ila Mimi sio muumini wa academician Kwa sababu theya are too mechanical Kwa hiyo hapana.Adolf Mkenda labda
Majaliwa yupo sana tuuuu......Biteko bado sana....adubiri 2026 huko sasa badooo ajifunze sana kwa MajaliwaKasimu Majaliwa bado yupo sana, Na akiondolewa kwa sasa sioni wa kuvaa viatu vyake, Biteko hata ndala hazimtoshi.
Hakuna kitu kama hichoKwa mtazamo wangu kulingana na hali ya mambo na yanayoendelea Bungeni, hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi na mabadiliko haya yatakuwa ni ya kisiasa tu.
Mwigulu na Mbarawa, wanaweza kuondolewa kwa muda halafu baadae wakarudishwa au kubadilishiwa wizara, huku Biteko akipewa uwaziri mkuu na Mpina kupewa uwaziri na Majaliwa kupumzishwa.
In this country, it only needs to be an adult to predict what our politicians are going to do or behave under certain circumstances.
Ningekuwa mimi Kiswaswadu ningeachia ngazi kwa staha tu .Huwa zikishavuja hivi hawafanyi tena.. Ila Katelefoni anatafutwa mno!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana anatapatapa kuwaingiza Sukuma Gang kwenye mfumo wake. Kilemba cha ukoka alichovishwa Biteko na ingizo la Makonda ni katika juhudi zake kujinasua na hilo zengwe.Ata Bi.Mkubwa anasukiwa zengwe za 2025 asirudi Ikulu.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mama Abdul bado anafanya trial and errorHivi panga pangua,
Teua tengua
Vunja Jenga bado inaendelea?
Bado hawajapatikana wanao aminika?
Only God knows.Kwani ninyi mmekuwa Mungu? Mnafahamu ratiba za Mungu juu ya hii regime Kwa miaka 2 ijayo?
Kwanini anawahitaji wao binafsi...Wana nini Cha ziada kuzidi wengine...?Mnaomuwaza Mwigulu na Mbarawa mnapoteza muda na kujipa uchungu bure!
Hawa watu ktk baraza Samia anawahitaji wao 'binafsi' si kingine.
Watu wa aina hii wanaohitajika binafsi na watawala huwepo almost ktk serikali zote duniani na huwa hawagusiki wala kupimwa utendaji wao.
Nchi ya kusadikika.Hivi hii nchi inaitwake vile?
Majaliwa haondoki kabla ya 2025 kwa sababu kisheria 2025 anamalliza kipindi chake 10 yes na anastaafu rasmi wala baada ya 2025 hawezi kuendelea kuwa Waziri Mkuu NeverNimeona Samia ana tabia ya kumteua anayeonekana kuwasumbua mawaziri waliopo, akisema njoo nawe ufanye yale uliyokuwa ukiyasema bungeni, ajabu kwa Mpina hamgusi, sijui anaogopa kitu gani, au anasubiri nini.
- Labda Mpina anaweza kuteuliwa after 2025 election kama atafanikiwa kurudi bungeni, lakini kwa sasa sioni atateuliwa awekwe wapi, hasa nikiona anavyodili zaidi na mambo ya wizara ya fedha, ambapo "mtoto wa mama" kwa sasa anaonekana hagusiki.
Kuhusu Majaliwa kupumzika, hiyo inaweza kutokea after 2025, ambapo Samia ataamua kwenda na Biteko kama PM wake baada ya kumpa experience kwa cheo cha Naibu WM alichonacho sasa, ila sidhani kama itakuwa before 2025.
Duuh! Naomba hii tetesi isitimeKuna mbunge atapewa Ubalozi na Makonda atateuliwa ubunge, kisha ataenda Tamisemi na Mchengerwa Fedha, Dr Mwigullu Uchumi π
Nauliza tu, hivi kwa nini anaandamwa sana.Majaliwa Lazima avunje Record ya Sumaye. kukaa miaka 14 kama waziri mkuu
Kiongoz upo huku tangu 2006? Mchango wako ndo huu tu?Only God knows.
You're dumb if this don't tell you something about who I am.Kiongoz upo huku tangu 2006? Mchango wako ndo huu tu?