Pre GE2025 Rais Samia atavunja Rekodi ya Jakaya Kikwete ya 2005 kwa kupata kura nyingi tangia kuanza kwa Mfumo wa vyama vingi

Pre GE2025 Rais Samia atavunja Rekodi ya Jakaya Kikwete ya 2005 kwa kupata kura nyingi tangia kuanza kwa Mfumo wa vyama vingi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.

Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .

Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.

Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.

Soma Pia: Tukumbuke: Komredi Polepole ameweka rekodi ya kuipa CCM Ushindi wa 84% kwa Rais wa JMT na 98% kwa Wabunge wa Kuchaguliwa 2020!

Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.

Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.

Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.

Screenshot_20240823-183630_1.jpg

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.

Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .

Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.

Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.

Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.

Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.

Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.View attachment 3080513

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Tangu ulivyosema atakuja na hotuba ya kutingisha inchi na ukatuomba tukae kwenye TV na redio

Na kilichotokea ni nothing aaah Sina Imani tena na wewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.

Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .

Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.

Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.

Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.

Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.

Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.View attachment 3080513

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huna ubongo wewe maana mwenye ubongo huwezi kuwa hivyo for such a long time!
1724757007405.png
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.

Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .

Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.

Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.

Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.

Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.

Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.View attachment 3080513

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umeamua kumnafikia Mama SSH🤣🤣🤣🤣
 
Rekodi ya Kikwete ilivunjwa na Magufuli 2020 , Dkt.Samia anaenda kuvunja rekodi ya Magufuli na kuweka rekodi mpya ambayo nafikiri haitakuja kuvunjwa tena
Soma andiko langu ulielewe vizuri kabla ya kutoa maoni yako. Nimesema katika awamu ya kwanza na siyo awamu ya pili katika kutetea kiti cha Urais.
 
Wewe ni Bwege Mtozeni

Shujaa Magufuli alipata 84%

Simbilisi wahed 🐼
Kweli wewe mzee unazeeka vibaya sana na ukurupukaji? Umeelewa andiko langu? Andiko linasema katika awamu ya kwanza. Nani aliyepata kura 80% katika awamu yake ya kwanza ya kutafuta urais?

Tatizo lako wewe mzee ni mkurupukaji sana na mtu ambaye hujatulia kichwani.wewe ni kuandika tu kila kitu kinachokujia kichwani mwako.
 
Tangu ulivyosema atakuja na hotuba ya kutingisha inchi na ukatuomba tukae kwenye TV na redio

Na kilichotokea ni nothing aaah Sina Imani tena na wewe
Kwani hukuona namna hotuba ile ilivyokuwa? Kumbuka na pale Mheshimiwa Rais alikuwa na haraka kuwahi kikao cha SADC ambako nako huko amechaguliwa kushika mcheo mkubwa balaa.
 
Kweli wewe mzee unazeeka vibaya sana na ukurupukaji? Umeelewa andiko langu? Andiko linasema katika awamu ya kwanza. Nani aliyepata kura 80% katika awamu yake ya kwanza ya kutafuta urais?

Tatizo lako wewe mzee ni mkurupukaji sana na mtu ambaye hujatulia kichwani.wewe ni kuandika tu kila kitu kinachokujia kichwani mwako.
Wewe Simbilisi kwani mh Rais Samia anagombea Kwa mara ya kwanza 2025

Nyie mtatawaliwa na Wanyakyusa milele na milele aisee 😂😂😂

Yaani Wasafwa ndio wanakutegemea Wewe na Choicevariable ndio muwaondolee aibu ya kukosa mbunge 😂😂😂😂 Bure Kabisa

Afadhali yule Mnyiha Nyagali 🐼
 
Back
Top Bottom