Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Futa kwanza ujinga wako kichwani.Futa hili andiko lako la kishetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Futa kwanza ujinga wako kichwani.Futa hili andiko lako la kishetani
Mnaiba Bwanaa Lucas kwa Chama gani hiko kimejifia.Kupata kura nyingi za ndio kwa kishindo
Tangia lini na wewe ukawa na akili? Umeelewa andiko langu na huyo unayefanana naye akili? Hoja yangu ni katika awamu ya kwanza na siyo ile awamu ya pili ambayo mtu anakuwa anatetea kiti chake. Uwe unaelewa hoja na siyo kukurupuka tu.ndio maana nasemaga wewe ni sifuri kabisa kichwani mwakoHili jitu huwa nawaambia halina akili japo lipo UWT pale
CCM ndio chama kiongozi Barani Afrika.Mnaiba Bwanaa Lucas kwa Chama gani hiko kimejifia.
Chama kinaishi kwa nguvu ya dola.
Wewe hujitambui na wala huna unachojuwa zaidi ya ukurupukaji wako tu.Wewe ni Simbilisi
Mh Rais Dr Samia yuko madarakani Kwa kura zipi?
Wewe ndio Sababu Dr Mwansasu PhD amekushtukia Kwa kuwapaka Viongozi mafuta Kwa mgongo wa chupa
Bado Kafulila na Makonda ndio hawajagundua Michezo Yako 😂😂😂
Unadhani kwanini Moto Chini alikuzuia kuendelea Kutangaza namba Yako ya Simu mitandaoni?😃😃😃😃🔥🔥
Nimemaliza baadae ulale Unono 😂
Afu mama Yako kaongea nni kule Kenya?CCM ndio chama kiongozi Barani Afrika.
nadhani hilo liko wazi na ni la uhakika sana,Ndugu zangu Watanzania,
Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.
Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .
Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.
Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.
Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.
Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.
Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.View attachment 3080513
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tuNdugu zangu Watanzania,
Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.
Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .
Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.
Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.
Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.
Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.
Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.View attachment 3080513
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nakuhurumia weweFuta kwanza ujinga wako kichwani.
Vua chupi haraka akuweke nyuma. Jinga wewe. Huna akili kabisa hata kidogo. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketeeNdugu zangu Watanzania,
Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.
Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .
Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.
Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.
Soma Pia: Tukumbuke: Komredi Polepole ameweka rekodi ya kuipa CCM Ushindi wa 84% kwa Rais wa JMT na 98% kwa Wabunge wa Kuchaguliwa 2020!
Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.
Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.
Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umesamehewa dhambi zako bure kabisa nenda na Amani ya Bwana.Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
Kwa hiyo watanganyika wameridhika kutawaliwa na raisi wa kuazima Toka nchi jiraniNdugu zangu Watanzania,
Mpaka sasa Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Rais Mstaafu wa awamu ya nne anashikilia rekodi ya kupata kura nyingi na kwa asilimia kubwa katika awamu yake ya kwanza tu katika kutafuta nafasi ya kuingia ikulu tangia mfumo wa vyama vingi uanze.
Napenda kuwakumbusheni na kusisitiza kuwa hoja yangu ipo katika uchaguzi wa kwanza wa mgombea husika. Yaani namaanisha kuwa asilimia alizozipata Hayati Benjamini Mkapa mwaka 1995 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza na asilimia alizozipata Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Magufuli Mwaka 2015 alipokuwa anagombea Urais kwa Mara ya kwanza .
Hakuna kati yao aliyefanikisha kupata kura na asilimia alizozipata Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete.kwa sababu Hayati Benjamini Mkapa alipata Asilimia 61 na hata Hayati Dkt Magufuli hakufikia kura na asilimia hizo katika awamu yake ya kwanza ya kuomba Urais alipopambana na Hayati Edward lowassa.
Wakati Mheshimiwa Dkt Kikwete yeye alipata kura takribani asilimia 80 ya kura zote. Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais. Ni mgombea ambaye alikuwa na mvuto mkubwa sana wa kisiasa na alikubalika na watu wa vyama vyote.
Soma Pia: Tukumbuke: Komredi Polepole ameweka rekodi ya kuipa CCM Ushindi wa 84% kwa Rais wa JMT na 98% kwa Wabunge wa Kuchaguliwa 2020!
Lakini katika awamu yake ya pili yaani 2010 kura zake katika sanduku la kura zilishuka na hata asilimia za kura zake zilishuka ,wakati Hayati Benjamini Mkapa pamoja na Hayati Dkt John Magufuli wao asilimia zao zilipanda sana katika awamu zao za pili katika kutafuta na kutetea nafasi zao. Hapa napo pana mjadala ambao ulipelekea Rais Dkt Jakaya Mrisho kushuka .ambapo siwezi kujadili hapa maana inahitaji andiko la peke yake kuweza kuwachambulia vizuri sana na kwa undani.
Sasa nikiangalia hali ya kisiasa ilivyo hapa Nchini kwa sasa,hasa kukubalika na umaarufu wa Rais Samia kwa watanzania na namna anavyopendwa na kuungwa mkono na watu wa makundi mbalimbali na wa vyama vyote .naona Jemedari wetu Daktari Mama Samia akienda kuivunja Rekodi hiyo inayoshikiliwa na Daktari Jakaya Kikwete kwa kupata kura nyingi za kishindo hapo Mwakani katika Historia ya Taifa letu.
Naona akienda kuvuna mamilioni kwa mamilioni ya kura za ndio katika sanduku la kura na kupata asilimia kubwa zitakazoweka rekodi itakayodumu kwa muda mrefu. Hii ni kwa kuwa ndani ya muda mfupi amefanikiwa sana na kwa kiasi kikubwa sana kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania,kuinua maisha ya watu,kuleta unafuu wa kimaisha ,kujenga matumaini kwa watu,kuwawezesha vijana ambalo ndilo kundi kubwa hapa Nchini. Ambapo sasa vijana wanamkubali sana Rais Samia.lakini kubwa kuliko ni kuwa ameleta maendeleo makubwa sana katika kila secta ambayo siwezi kumaliza kuyaorodhesha hapa jukwaani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Anaangaika kama kuku anayetaka kutaga kwa mara ya kwanza.😂😂😂😂😂😂we jamaa huna mpinzani kwenye uchawa
Nchi gani jirani? Tanzania ni moja na watanzania ni wamoja na wote wanahaki ya kuomba Urais wa JMTKwa hiyo watanganyika wameridhika kutawaliwa na raisi wa kuazima Toka nchi jirani
Sidhani kama hata ccm wenye akili wanakubaliana na huu upuuzi
Ni mgombea pekee aliyeitwa mhuni na Nyerere.Na huyu ndiye mgombea wa CCM ambaye alikuwa anakubalika sana hapa nchini kuwahi kutokea tangia mfumo wa vyama vingi uanze katika awamu yake ya kwanza ya kuutafuta Urais.
Hata Nape anakushangaa na chawa wako wa kizwazwaCCM inakubalika sana na wala haiwezi kuhangaika kupanga wala kufikiria kuiba kura
Labda wewe ndiye mhuni.Ni mgombea pekee aliyeitwa mhuni na Nyerere.
Ni mgombea pekee aliyejilimbikizia mali ili ashinde kwa kuhonga
Jitahidi uweke sifa zake zote hapa huyo mhuni
Na uhuni kwenye siasa ulianzishwa na yeyeLabda wewe ndiye mhuni.