Rais Samia atengua Uamuzi wa TRA Kuhusu Machinga Kutumia EFD

Hakika Rais Samia ni rais msikivu anayeguswa na changamoto za wamachinga. Mungu ambariki.
Baada ya kutengeneza tatizo na baadae kurudi kulitatua? Hizi mbinu za kingese sana za Ulaya Mashariki mwanzoni.mwa miaka ya 90
 
ngoja nicheke yaani mara moja tu yashaanza kuimba pambio yameshahau yalivokuwa yanaishi kama digidigi.Tanzania,no wonder samia akapita kwa kishindo 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…