Hivi hawa huyo mwendazake, aliyesalimu amri kwa corona, alikuwa akiwaokota wapi?
Your browser is not able to display this video.
Namtazama huyu afande anavyopokea amri, nabaki nashangaa tu na kujiuliza, hizo nguvu hao wahuni wanazitoa wapi?
Halafu kama vile nimezinduka uzingizini, nakumbuka ile kauli ya aliyewateua ya kuwataka vichaa kama yeye.
Alihakikisha kila mkoa unatawaliwa kwa namna ile ile alivyoitawala Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Halafu walinda usalama wetu mikoa yote ilibiwabidi kutii bila shurti maagizo ya hao hao vichaa!
Your browser is not able to display this video.
Sote tunajua kwamba Baba wa Taifa, kama angekuwa bado yu hai, hangeweza kukaa kimya kwa hali iliyokuwa ikiendelea nchini kwa miaka mitano, je huyu kijana asiye na adabu angethubutu kumkanya achunge ulimi wake la sivyo atwangwe?
Mkuu inategemea amefikia "level" ipi katika mambo ya "bwaksi..." ikiwa "..pombe imeshakunywa mtu!!" Chaki haitashikika...
Tunawajua wengi walio kama yeye ndio maana tulionya mapema ili asaidiwe na "wanaompenda" lakini wapi... alisifiwa na mwisho wa siku akatapika kwenye altare...
Juzi Chalamila akizungumza na waandishi,aliwaomba wananchi wa Mwanza wampokee Rais kwa mabango,yeyote yale hata ya matusi!...hii huenda Ikawa sababu?....
Hapi kabaki duu.
Ally Hapi ndo kwanza alikuwa anajitambulisha kwenye wilaya za mkoa wa Tabora. Jumatatu na Jumanne alikuwa anajitambulisha wilaya ya Kaliua, Jumatano na Alhamisi alikuwa wilaya ya Urambo, Ijumaa amehamishwa mkoa.
Sijui kama alishamaliza kujitambulisha Tabora. Kazi Iendelee.
Chalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya Rais atakayoifanya mkoani humo na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Wakati huo huo mama ameshatoa onyo kuwa hataki kuona mabango wananchi wakiilalamikia serikali; na kwamba mabango hayo yatawa-cost wakuu wa mikoa. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
Chalamila alikuwa anahangaika mno. Juzi hapa nimemuona akiwataka wananchi wa Mwanza wajitokeze kwa wingi kwenye ziara ya Rais atakayoifanya mkoani humo na akawataka waje na mabango ya kutosha - hata kama ni ya matusi sawa tu. Wakati huo huo mama ameshatoa onyo kuwa hataki kuona mabango wananchi wakiilalamikia serikali; na kwamba mabango hayo yatawa-cost wakuu wa mikoa. Huu ni wakati wa ku-lay low na kusoma upepo unavyokwenda. Haoni wenzake akina Hapi wako kimya wanahamishwa tu huku na huko utafikiri mpira wa kona?
Hiyo ya matusi inazunguka mitandaoni lakini nimefatilia taarifa yake yote mbona hakuna aliposema mabango ya matusi? Media zili edit? Au video imetengenezwa kujustify kufukuzwa kwake? Alafu taarifa yenyewe ina zaidi ya siku tatu! Anyway wenye mamlaka ndio wanajua.
Hiyo ya matusi inazunguka mitandaoni lakini nimefatilia taarifa yake yote mbona hakuna aliposema mabango ya matusi? Media zili edit? Au video imetengenezwa kujustify kufukuzwa kwake? Alafu taarifa yenyewe ina zaidi ya siku tatu! Anyway wenye mamlaka ndio wanajua.