Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

Hivi hawa huyo mwendazake, aliyesalimu amri kwa corona, alikuwa akiwaokota wapi?

Your browser is not able to display this video.


Namtazama huyu afande anavyopokea amri, nabaki nashangaa tu na kujiuliza, hizo nguvu hao wahuni wanazitoa wapi?
Halafu kama vile nimezinduka uzingizini, nakumbuka ile kauli ya aliyewateua ya kuwataka vichaa kama yeye.
Alihakikisha kila mkoa unatawaliwa kwa namna ile ile alivyoitawala Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Halafu walinda usalama wetu mikoa yote ilibiwabidi kutii bila shurti maagizo ya hao hao vichaa!

Your browser is not able to display this video.


Sote tunajua kwamba Baba wa Taifa, kama angekuwa bado yu hai, hangeweza kukaa kimya kwa hali iliyokuwa ikiendelea nchini kwa miaka mitano, je huyu kijana asiye na adabu angethubutu kumkanya achunge ulimi wake la sivyo atwangwe?
 
Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.

Anateua leo, jioni anatengua.

Kesho anateua, keshokutwa anatengua!

Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??

NB: Hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Chalamila sio mzima apelekwe muhimbili kupimwa akili
 
Chalamila apewe kazi BASATA panamfaa Sana Kwa kweli.
 
Nasikia ni mwalimu wa chuo kikuu. Arudi kushika chaki ukizingatia bado kijana.
Mkuu inategemea amefikia "level" ipi katika mambo ya "bwaksi..." ikiwa "..pombe imeshakunywa mtu!!" Chaki haitashikika...
Tunawajua wengi walio kama yeye ndio maana tulionya mapema ili asaidiwe na "wanaompenda" lakini wapi... alisifiwa na mwisho wa siku akatapika kwenye altare...
 
Juzi Chalamila akizungumza na waandishi,aliwaomba wananchi wa Mwanza wampokee Rais kwa mabango,yeyote yale hata ya matusi!...hii huenda Ikawa sababu?....
Hapi kabaki duu.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], akaanze kujitambulisha tena Mara, aanzie serengeti
 
Hio font ya press release mbona haiko good kabisa, Atumie font kama ya Msigwa
 
Huyo ni mtu asiyejielewa, anafikiri anapewa uongozi kwa kumsifia Rais. Awamu hiyo ilishapita.

Kalikoroga sasa alinywe.
 
Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.

Anateua leo, jioni anatengua.

Kesho anateua, keshokutwa anatengua!

Hatimaye 'kichaa' apigwa chini...

Huo ukichaa alishajitamkia yeye mwenyewe huyo RC akiwa Mbeya
 
Hiyo ya matusi inazunguka mitandaoni lakini nimefatilia taarifa yake yote mbona hakuna aliposema mabango ya matusi? Media zili edit? Au video imetengenezwa kujustify kufukuzwa kwake? Alafu taarifa yenyewe ina zaidi ya siku tatu! Anyway wenye mamlaka ndio wanajua.
 
Ningeshangaa sana kama asingetenguliwa. Unaambia watu waje na mabango ya matusi kwa mkuu wa nchi. Tatizo Jiwe aliwaendekeza kusema sema hovyo!
 
🤔 hmm….
 
Hmm…huyu mama naye kama Magufuli tu sasa.

Anateua leo, jioni anatengua.

Kesho anateua, keshokutwa anatengua!

Hivi hao wateuliwa huwa hawafanyiwi vetting??

NB: Hizi press releases huwa zinatolewa saa ngapi usiku?
Miaka yote itaisha anateua na kutengua
 
Damu ya yule kijana aliye mrestisha ini pisi iringa imeanza kumwandama sasa, pole zake ex mkuu wa mkoa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…