Ujumbe wenu leo umewafikia? Mna akili ndogo🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hangaya alimtimua mteule wa Magu pale! Manyumbu yajashangilia eti sukuma gang wanakomeshwa
Muundo upo sawa; tatizo politics, kama si mtu wa mfumo huwezi kudumu kwenye nafasi yakoBandari alipashindwa jiwe na ubabe wake! Kuna namna panatakiwa kubadilishwa kwenye muundo wa majukumu ya utendaji pengine itasaidia!!
Hii kufumuliwa huwa mnamaanisha nn?Erick kakata kamba..anyway bandari inahitaji kufumuliwa upya ni fupa lilishindikana.
#MaendeleoHayanaChama
Hili swali lako aisee, huko kwa wenzetu sio bandari tu karibu vitu vyote huduma zote zipo vizuri.Hivi nchi za Ulaya bandari zao nazo zina shida kama hizi zetu? Kama hawana wao wamewezaje kudhibiti? tunashindwa nini kujifunza mifumo ya udhibiti toka kwao?
Maana pale TPA ukichaguliwa ni lazima utatenda dhambi hata kama ulikuwa hutaki kumuudhi muumba wako, maana hela inakufuata yenyewe sasa uikatae sheikh ?
Kwa kazi ya Bandari hata huyu Mbossa naye atatenguliwa tuRais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ndgu. Eric Hamisi. Nafasi yake inachukuliwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Ndgu. Plasduce Mkeli Mbossa.
Hutakiwi kumpongeza , atatenguliwa tu .Hongera sana Plasduce Mbossa kwa uteuzi, tunaomba mwenye CV ya Mbossa please
Mtu wa nje ya box hata siku moja hatapaweza bandari, angalia kuanzia Kipande, Kakoko na sasa Eric...lile ni dude mzee
Deputy Director-General
Plasduce Mkeli Mbossa
Unachekesha😀Binafsisha hizi BANDARI, naona zinatupa shida kubwa kuziendesha au recruits freshers kutoka University, peleka wachache pale Durban, Capetown, Rotterdam, Botswana (dry port)wakajifunze kwa 24mth kuhusu uendeshaji wa hizi bandari, na ajira mpya zifanyike yaani we need to start upya
Sio bandari tu ni idara zote za serikaliMtu wa nje ya box hata siku moja hatapaweza bandari, angalia kuanzia Kipande, Kakoko na sasa Eric...lile ni dude mzee
Tatizo ni Siasa; Siasa; Siasa..Naomba kuelimishwa,Tatizo la msingi pale bandarini ni nini?
Ila Kuna watu kwa propaganda mpo vizuri. Huyu mbosa ni wa kwake? Ili akija kuondolewa tuwakumbushe tenaTatizo ni Siasa; Siasa; Siasa..
Connection ya Eric Hamissi ilikuwa kwa Waziri Mkuu, sasa za chini ya kapeti ni kuwa Mama na W/Mkuu kwa sasa wanalea tu watoto lkn ndoa ilishakufa, so ilikuwa lazima mama amchomoe aweke mtu wake!
Wapewe jeshi, atakayeleta uzinguaji atashughulikiwa court martialBandari alipashindwa jiwe na ubabe wake! Kuna namna panatakiwa kubadilishwa kwenye muundo wa majukumu ya utendaji pengine itasaidia!!
Hii bandari wamkabidhi kagame.Walimuondoa yule wa waliyemkuta Kwa figisu wakamuweka huyu wa kwao..
Waendelee hadi kule walimpotoa kalemani sasa kumeoza kabisa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aiseee...Tatizo ni Siasa; Siasa; Siasa..
Connection ya Eric Hamissi ilikuwa kwa Waziri Mkuu, sasa za chini ya kapeti ni kuwa Mama na W/Mkuu kwa sasa wanalea tu watoto lkn ndoa ilishakufa, so ilikuwa lazima mama amchomoe aweke mtu wake!
Jeshi lina taaluma zote Mkuu.Hao watatumia miguvu tu hao. Akili hawana.
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI