LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Hamisi alifanya vizuri sana kwenye ujenzi wa Meli na kwa kweli katika muda mfupi zilijengwa meli na nyingine bado zinaundwa.Tangu atoke huko hali I.ekuwa tete sana yaani mpaka leo wanastruggle kujenga hiyo meli ya mv hapa kazi tu ya kutoka mwanza kwenda bukoba na kwa kasi hii 2025 watakuwa bado hawajamaliza.baada ya jiwe kufa kuna masarakasi yalifanyika kule kwenye mikataba nafikiri alihusika ndiyo sababu