Rais Samia atengua uteuzi wa Eric Hamissi, Mkurugenzi Mkuu wa Usimamizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)

Rais Samia atengua uteuzi wa Eric Hamissi, Mkurugenzi Mkuu wa Usimamizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)

Hamisi alifanya vizuri sana kwenye ujenzi wa Meli na kwa kweli katika muda mfupi zilijengwa meli na nyingine bado zinaundwa.Tangu atoke huko hali I.ekuwa tete sana yaani mpaka leo wanastruggle kujenga hiyo meli ya mv hapa kazi tu ya kutoka mwanza kwenda bukoba na kwa kasi hii 2025 watakuwa bado hawajamaliza.baada ya jiwe kufa kuna masarakasi yalifanyika kule kwenye mikataba nafikiri alihusika ndiyo sababu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hangaya alimtimua mteule wa Magu pale! Manyumbu yajashangilia eti sukuma gang wanakomeshwa
Ujumbe wenu leo umewafikia? Mna akili ndogo🤣🤣
 
Hivi nchi za Ulaya bandari zao nazo zina shida kama hizi zetu? Kama hawana wao wamewezaje kudhibiti? tunashindwa nini kujifunza mifumo ya udhibiti toka kwao?

Maana pale TPA ukichaguliwa ni lazima utatenda dhambi hata kama ulikuwa hutaki kumuudhi muumba wako, maana hela inakufuata yenyewe sasa uikatae sheikh ?
Hili swali lako aisee, huko kwa wenzetu sio bandari tu karibu vitu vyote huduma zote zipo vizuri.
Na huku kwetu tatizo sio bandari tu, kila sehemu ni uozo
 
Plasduce Mkeli Mbossa

Deputy Director-General​

Plasduce Mkeli Mbossa​

Mtu wa nje ya box hata siku moja hatapaweza bandari, angalia kuanzia Kipande, Kakoko na sasa Eric...lile ni dude mzee
 
Binafsisha hizi BANDARI, naona zinatupa shida kubwa kuziendesha au recruits freshers kutoka University, peleka wachache pale Durban, Capetown, Rotterdam, Botswana (dry port)wakajifunze kwa 24mth kuhusu uendeshaji wa hizi bandari, na ajira mpya zifanyike yaani we need to start upya
Unachekesha😀
 
Naomba kuelimishwa,Tatizo la msingi pale bandarini ni nini?
Tatizo ni Siasa; Siasa; Siasa..

Connection ya Eric Hamissi ilikuwa kwa Waziri Mkuu, sasa za chini ya kapeti ni kuwa Mama na W/Mkuu kwa sasa wanalea tu watoto lkn ndoa ilishakufa, so ilikuwa lazima mama amchomoe aweke mtu wake!
 
Tatizo ni Siasa; Siasa; Siasa..

Connection ya Eric Hamissi ilikuwa kwa Waziri Mkuu, sasa za chini ya kapeti ni kuwa Mama na W/Mkuu kwa sasa wanalea tu watoto lkn ndoa ilishakufa, so ilikuwa lazima mama amchomoe aweke mtu wake!
Ila Kuna watu kwa propaganda mpo vizuri. Huyu mbosa ni wa kwake? Ili akija kuondolewa tuwakumbushe tena
 
Huyu mbossa ni kijana makini, nimemjua kipindi cha JPM akiwa msaidizi wa kankoko kabla hajampandisha kuwa miongoni wa wakurugenzi
 
Tatizo ni Siasa; Siasa; Siasa..

Connection ya Eric Hamissi ilikuwa kwa Waziri Mkuu, sasa za chini ya kapeti ni kuwa Mama na W/Mkuu kwa sasa wanalea tu watoto lkn ndoa ilishakufa, so ilikuwa lazima mama amchomoe aweke mtu wake!
Aiseee...
 
Back
Top Bottom