Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Dr Chengeni aliapishwa lini kuwa mkuu wa mkoa wa Mara? Kama hakuwahi kuapishwa aliwezaje kuwa mkuu wa mkoa bila kuapishwa!Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.
Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.
#Mwakammojanasamia #kaziiendelee
View attachment 2310209