Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Dr Chengeni aliapishwa lini kuwa mkuu wa mkoa wa Mara? Kama hakuwahi kuapishwa aliwezaje kuwa mkuu wa mkoa bila kuapishwa!
 
Dr Chengeni aliapishwa lini kuwa mkuu wa mkoa wa Mara? Kama hakuwahi kuapishwa aliwezaje kuwa mkuu wa mkoa bila kuapishwa!
Inaonekana Kiswahili kimekuwa kigumu kwako... "ametengua uteuzi wa mkuu wa mkoa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…