We house girl wa Gekul!?Wapo wanaofanya unyama kupita huyu Gekul....pamoja na wananchi kulalamika na ushahidi juu bado wanadunda kwenye nafasi zao....anajua mwenyewe moyoni mwake anatumia kigezo gani kutengua....binafsi naona ni maigizo tu ya kujipatia umaarufu kizembezembe...asafishe kote kunakonuka
Ukute karogelezwa!aisee uchawi upo, nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa nw katba na sheria alishiriki kitendo hicho akiwa na akil zake timamu.
Mwalimu mkuu amerudishwa, ila kwa ishu ya gekul wataithibitisha vipo kuwa kafanya hayo?Haki za watoto
1. Watoto wamecheza Honey, mwalimu mkuu alitumbuliwa
2. Huyu kamuingiza chupa na kumpiga mtoto tuone atabaki na ubunge wake?
Hapa tutaona Double Standards
Waziri wa watoto upo?
Mama msikivu kasikia maoni ya Great thinkers Jana tulikuwa moto balaaaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Pauline Philipo Gekul.
View attachment 2824966
Saa chache zilizopita, Pauline Gekul ambaye ni Mbunge wa Babati Mjini alituhumiwa kumfanyia unyanyasaji mfanyakazi wake ambapo inadaiwa akishirikiana na watu wengine walimdhuru mwili na kumuingiza chupa sehemu ya haja kubwa.
DOKEZO - √ - Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba na kupigwa, kujeruhiwa na kuwekewa chupa katika maeneo ya haja kubwa. Hashimu Ally anadai, Pauline...www.jamiiforums.com
Hata hivyo, Mbunge Pauline kupitia Katibu wake alikanusha taarifa hiyo katika ujumbe uliowekwa kwenye mitandao ya kijamii ukimtuhumu Hashimu kufanya udanganyifu na kushirikiana na washindani wa Pauline wa kibiashara kumfanyia ushirikina na baadaye ujumbe huo kufutwa kwa maelezo kuwa suala hilo liko mikononi mwa Polisi.
Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Wakati makundi mbalimbali yakimjia juu Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline Gekul kwa madai ya udhalilishaji, mwanasiasa huyo kupitia katibu wa ofisi yake, ametoa ufafanuzi akigusia madai ya kuwapo imani za kishirikiana na ushindani wa kibiashara. Ufafanuzi huo awali ulitolewa na Hussein...www.jamiiforums.com
hili nalo ni la kutazamwa,Ukute karogelezwa!
Ongea na Gwajima amfufue jiweKufa sifi, wala huko mbali siendi. Ila kuwa chawa ni kujitoa ufahamu
Kuna watu wanakazi zao brother utaongea tu mahakamani kuna vimaswali unapigwa unazungushwa hapo hapo. Hahaaaa!Mwalimu mkuu amerudishwa, ila kwa ishu ya gekul wataithibitisha vipo kuwa kafanya hayo?
Lakini je ni kweli huyo aliyekuwa Naibu Waziri alifanya kitendo hicho kikamilifu kama anavyoeleza mhanga?
Ongea na Gwajima amfufue jiwe
RPC ajipime...
Haki za watoto
1. Watoto wamecheza Honey, mwalimu mkuu alitumbuliwa
2. Huyu kamuingiza chupa na kumpiga mtoto tuone atabaki na ubunge wake?
Hapa tutaona Double Standards
Waziri wa watoto upo?
Amekuwa sheikh Rashid kabisaKwa Sasa Gwajima kaisha sidhani hata malaria anaweza kuponya. Nilimsikia akiiponda Biblia.
Viongozi wengi wa Afrika ndo walivyo, ukianza wakagua utakuta wote wako hivyoUshamba tu wa madaraka huyu uwaziri alipoupata ukampagawisha
Ova
Yawezekana, lakini ukisoma maelezo ya waziri kupitia Katibu wake, na ukosoma yale ya kijana hata bila kuwajua wote wawili, utagundua kuna mmoja kati yao analinda status yakeMkuu bado ni tuhuma tu, usihukumu, mamlaka pekee ya kuhukumu ni mahakama!
Wananchi tukikataa asituongoze na asiende bungeni kutuwakilisha tunaweza. Ngoja tusubiri wiki ijayo iishe kama hatapelekwa mahakamani tuonehizo ndoto haiwezi kutokea sema ccm watamla kichwa asigombee
Maoni ya juzi ya mh. Jakaya Kikwete na leo hii ya Jenerali Ulimwengu n.k kuwa rais akubali maoni ya wananchi kwa vile ni ngumu sana rais kufahamu kila kinachotendeka katika nchi hii kubwa yenye eneo la kilometa za mraba zaidi ya 900,000.
Picha kutoka maktaba :
Naibu waziri wa Katiba na Sheria, Mh. Pauline Gekul akichangia makadiroo ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria mwaka 2023/2024 Jumanne Aprili 25,2023.
View: https://m.youtube.com/watch?v=q4T8rdTdGIkMbunge - Pauline Philipo Gekul
Naibu Waziri - Wizara ya Katiba na Sheria
Eneo bunge Jimbo - Babati Mjini
Chama cha siasa : CCM
Elimu - Masters UDOM 2014
Elimu - Degree ya kwanza UDSM 2006
Kama huyo DC ni mtu wa Ijumaa yupo salamaHaya ahamie na huko Lindi sasa kuna issue ya namna hiyo hiyo!