Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Haki za watoto
1. Watoto wamecheza Honey, mwalimu mkuu alitumbuliwa
2. Huyu kamuingiza chupa na kumpiga mtoto tuone atabaki na ubunge wake?
Hapa tutaona Double Standards
Waziri wa watoto upo?
 
Mama msikivu kasikia maoni ya Great thinkers Jana tulikuwa moto balaaa
 
Haki za watoto
1. Watoto wamecheza Honey, mwalimu mkuu alitumbuliwa
2. Huyu kamuingiza chupa na kumpiga mtoto tuone atabaki na ubunge wake?
Hapa tutaona Double Standards
Waziri wa watoto upo?

Waalimu wakuu hawakutumbuliwa Bali walivuliwa cheo Cha ualimu mkuu, ila kwa Sasa wamerejeshewa ualimu mkuu maana hawakuwepo shuleni kipindi jambo Hilo linatokea.
 
Mkuu bado ni tuhuma tu, usihukumu, mamlaka pekee ya kuhukumu ni mahakama!
Yawezekana, lakini ukisoma maelezo ya waziri kupitia Katibu wake, na ukosoma yale ya kijana hata bila kuwajua wote wawili, utagundua kuna mmoja kati yao analinda status yake
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…