Rais Samia, ameonya juu ya ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi.
Akizungumza leo, Februari 1, 2025, katika uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014, toleo la 2023, uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Mrisho Kikwete, jijini Dodoma, Rais Samia amesema kuwa kwa ukuaji wa asilimia 3.2% kwa mwaka, idadi ya watu nchini inakadiriwa kufikia milioni 123 ifikapo mwaka 2044.
"Ongezeko la Idadi ya Watu, lisilioendana na kasi ya ukuaji wa Uchumi wetu. Kwa ukuaji wa asilimia 3.2% kwa mwaka, inakadiriwa kwamba ifikapoa 2044 idadi ya watu hapa nchini itakuwa milioni 123 na hivyo kuongeza mahitaji ya kazi na ajira"
Rais Samia akizungumza leo, Februari 1, 2025, katika uzinduzi wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014, toleo la 2023, uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Mrisho Kikwete, Jijini Dodoma, amesema "ongezeko la Idadi ya Watu, lisilioendana na kasi ya ukuaji wa Uchumi wetu. Kwa ukuaji wa asilimia 3.2% kwa mwaka, inakadiriwa kwamba ifikapoa 2044 idadi ya watu hapa nchini itakuwa milioni 123 na hivyo kuongeza mahitaji ya kazi na ajira"
Hivi hapo umejibu kitu nimechouliza kweli, kama inawekeza kwenye vitu vya kijinga kwa nini usiwekeze kwenye vitu vya maana Ili ongezeko wa watu liendani na huduma bora kwa wananchi?.
Hapo mwenye kosa lipo kwa hao bodaboda au mkusanya kodi,ambaye pesa nyingi anazipeleka kununua V8 na kufanya uchaguzi ambao matokeo yake yanajulikana na mwishowe kutoa kauli ya 'KILA MBUZI ALE KULINGANA NS UREFU WA KAMBA YAKE?'
Hivi hapo umejibu kitu nimechouliza kweli, kama inawekeza kwenye vitu vya kijinga kwa nini usiwekeze kwenye vitu vya maana Ili ongezeko wa watu liendani na huduma bora kwa wananchi?.