ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Himaya mbalimbali kwenye historia zilikua kwa ikiwa moja ya kigezo ni ongezeko la watu,watu walioko karibu na Rais,waumize vichwa.Japan wana watu wengi kuliko tanzania na eneo lao ni dogo ila wana mipango madhubuti
Je tanzania hilo wanalo au ndiyo bora liendeeee
Ova