Rais Samia atoa bilioni 5.9 kuboresha afya ya mifugo

Nimemsikia mama akiwasisitizia viongozi kuwa Urais ni taasisi, sasa iweje kila siku tunaambia kuwa katoa mabillioni kufanya hiki na kile, badala ya kutuambia kuwa serikali imetoa hela kutekeleza miradi hii?
Wote tunafahamu kuwa Rais hana hela na hajawahi kuwa na hela tofauti na HH wa Zambia. Mshahara wake tunaufahamu.
 
Kwani anayetoa ni nani?
 
Kwahiyo hela anatoa mfukoni mwake au ni hela za umma ?
Jamaa wanakosea sana kutupa taarifa hawa. Pesa inatoka kwenye kodi zetu eti wenyewe wanasema Samia katoa!!??
Kanakwamba tunaomba ama tumepewa bure kumbe ni haki na raisi anachofanya ni kutekeleza majukumu yake
 

Mifugo hithaminiwi ila wanathamini nyama ikiwa kwenye bakuli,madafakeni yani wafugaji wa nchi hii wanateseka sana.
 
Watakwambia anakopa sana hawaoni kinachofanyika 🤪🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…