Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
ndio kweliYa kwel hii
Source ?Rais Samia Suluhu ametoa kibali cha ajira ya watumishi 600 ambao wataajiriwa katika taasisi mbalimbali zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na utalii.
Kuna wakati mtu akienda chuo hataki kabisa kusoma faculty za utalii kwa kuhofia kukosa ajira, lakini sasa Rais Samia Suluhu anazidi kuwapa moyo wa kuendelea na fani hizo kwani ajira zipo na zinaendelea kutolewa.
Tunazisubiri hizo ,nafasi hadi Leo kimya na umri unazidi kusonga
Inakatisha tamaa sanaHahahahaha! Mpaka leo kimya kwenye hizo nafasi 6,000. Mwezi wa 5 zilitangazwa nafasi 20 tu za Maafisa Wanyamapori nazo mpaka leo hakuna interview. #Politics
Umeitwa mkuu? au unatujuza tuHatimaye wameita kwenda kufanya usaili wa zile nafasi 20 za Afisa Wanyamapori
Nipo miongoni mwa waloitwaUmeitwa mkuu? au unatujuza tu
Hizi nafasi usaili umeitwa kikanda hebu fuatilia vizuri.Hahahahaha! Mpaka leo kimya kwenye hizo nafasi 6,000. Mwezi wa 5 zilitangazwa nafasi 20 tu za Maafisa Wanyamapori nazo mpaka leo hakuna interview. #Politics
Hao sio Askari Wanyamapori, ni Maafisa Wanyamapori.Bado ni nafasi chache sana na mchakato imechukua muda mrefu na upungufu mkubwa kulinganisha na askari wanyamapori waliopo ktk hifadhi za Taifa 23 hao wanaweza kupelekwa hifadhi moja tu ya nyerere National park au Burigi au selous na upungufu ukawa palepale watoe nafasi za kutosha kama wenzao ya wizara ya mambo ya Ndani Polisi ,uhamiaji ,magereza na Hongera Sana kwa mhe Waziri Hamad Masauni kwa kupambania kutoa Nafasi nyingi kwa vijana wa Kitqnzania wazalendo ili walitumikie Taifa lao la Tanzania.
Shukrani kwa kurekebisha palipoteleza kidogoHao sio Askari Wanyamapori, ni Maafisa Wanyamapori.
Mwajiri ni MDAs na LGAs sio TANAPA wala TAWA wala NCAA.
Hiyo ni mbali sanaMwaka wa serikali inaisha 7/2023 Ngoja tuone