Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Pre GE2025 Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
28,259
Reaction score
41,416
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina akasema mpeni Tundu Lissu!!

Simba ni mtawala na ni mfalme, ana nguvu na akili sana. Samia alijiita chui Jike leo kamwita Lissu Simba.

Simba ni ishara na alama kubwa sana katika ulimwengu wa roho hili tutajadili mbeleni.

Tumesema mara nyingi humu jukwaani huyu mama kachanganyikiwa sana na CHADEMA na anawawaza saa zote. Tundu Lissu anampa sleepless night huyu.

Jionee.


 
Ana maana nzuri Tu Simba ni ishara kubwa chanya Afrika yeye anajua contribution ya Tundu Lissu nchi hii,IPO siku hii nchi itakuja kumkumbuka huyu mama na hakuna Raisi amewahi sifika nchi hii hua anaonekana baadae SASA yeye atakuja kukumbukwa zaidi
 
Simba ni ishara kubwa sana katika ulimwengu wa roho...hata Yesu tunamwita Simba wa Yuda!! Huyu bibi panic zake zitamponza!! Yawezekana katamka bila kujijua ila ardhi imeandika....

Yeye alijiita chui leo kampa usimba Lissu upo?
Kawaida tu mkuu ni kama Simba wa Yuda.
 
Akiwa huko kizimkazi leo akipita katika mabanda ya wanyama alipofika banda la Simba haraka akauliza huyu Simba mmempa jina gani wakasema hana jina...
Je, yeye mwenyewe Tundu Lissu ameridhia Jina lake kupewa huyo mnyama Simba?

Kama hajaridhia kabla, Je, hiyo haiwezi kuwa Defamation Case au suala linalowahusiana na mambo ya copyright dispute?
 
Back
Top Bottom