Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Papaa misifaAngekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
MmmhUamsho hawajaachiwa?
Au wanaachiwa wagonjwa tu?
mtalinganisha sana, MTADEMKA SANAAngekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Hao hawajawahi kufungwa. Kesi yao bado ipo mahakamaniUamsho hawajaachiwa?
Au wanaachiwa wagonjwa tu?
Jamaa alikuwa na uwezo wa kuvamia birthday ya mtoto halafu akachukua mic watu wamuone yeye wamuimbie yeye happy birthday.Angekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Hakika tuliingia cha kike kwa huyu jamaaAngekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Ni miaka 68 sasa, hujajitambua tu kwamba wewe ni mtu mzima na mvi zimetapakaa, Bado unaendekeza masikhala tu hata Kwenye kuwa siriazi siyo?Jamaa alikuwa na uwezo wa kuvamia birthday ya mtoto halafu akachukua mic watu wamuone yeye wamuimbie yeye happy birthday.
Yani mpaka kanisani alikuwa anashindwa kujizuia nyege zake za mic!
Bado tu unaendelea kuumizwa na mtu aliyekufa Hadi Leo?Jamaa alikuwa na uwezo wa kuvamia birthday ya mtoto halafu akachukua mic watu wamuone yeye wamuimbie yeye happy birthday.
Yani mpaka kanisani alikuwa anashindwa kujizuia nyege zake za mic!
Muacheni sasa apumzike kwa amaniAngekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Awali ya yote, nafikiri unanifananisha na mtu tofauti na mimi.Ni miaka 68 sasa, hujajitambua tu kwamba wewe ni mtu mzima na mvi zimetapakaa, Bado unaendekeza masikhala tu hata Kwenye kuwa siriazi siyo?
Hawawezi kuwaachiaUamsho hawajaachiwa?
Au wanaachiwa wagonjwa tu?
Magufuli hakuwa na uwezo wa kuniumiza wakati akiwa hai, ataniumiza leo wakati maiti yake inaoza na kuliwa na funza?Bado tu unaendelea kuumizwa na mtu aliyekufa Hadi Leo?
Uhhh sihukumu Last Offers ☹️☹️Angekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Chuki za kijinga sana hizi.Jamaa alikuwa na uwezo wa kuvamia birthday ya mtoto halafu akachukua mic watu wamuone yeye wamuimbie yeye happy birthday.
Yani mpaka kanisani alikuwa anashindwa kujizuia nyege zake za mic!